Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

😚Ufafanuzi kidogo...Hii statement
 

Attachments

  • IMG_20240419_165226.jpg
    IMG_20240419_165226.jpg
    508.7 KB · Views: 5
Hongera kwa kulamba asali, panda gari la J2 usiku ufike pale masijala asubuhi uchukue barua siku hy hy uondoke zako. Hakuna ht haja ya pesa ya gesti.
Mkuu nashukuru kwa ushauri ila mie naona very risk kusafiri usiku kwa ajiri ya kuokoa elfu 30 ya lodge Bora usafiri mchana ufike mapema na uanze kufanya utalii wa ndani
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri ila mie naona very risk kusafiri usiku kwa ajiri ya kuokoa elfu 30 ya lodge Bora usafiri mchana ufike mapema na uanze kufanya utalii wa ndani
Sio mbaya mana hy pesa utakayotumia huko utairudishia kupitia mshahara 😂
 
Back
Top Bottom