Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sijui kweli
9ae22f13206e5fd32c7675ff4d901f53.jpeg
 
Daah💔,ila zetu zetu zinakujaaa
Amini kwamba zinakuja, kuna kipindi nilikuwa nasoma huu uzi na kuona kama ndoto kutokana na kupiga usaili kadhaa lakini bado kila mkeka ukitoka chenga, nikasema huwezi jua pengine siku yangu itakuja


Siku hiyo nilishangaa tu missed call nyingi na meseji za hongera, nikahisi kama utani

Katika usaili ambao sikuupa uzito ndio nikatoboa na ule ambao nilikaza sana fuvu sikuambulia kitu

Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, alifanya njia pasipo njia, katika watu 130+, kutoboa mmoja kati ya Sita pekee nina kila sababu ya kusema Thank you Jesus🙏🏿
 
Back
Top Bottom