El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
🤣 🤣 wanakaadiction flan hivi yaan mtu unaweza ukakaa siku nzima jioni unashtuka mmh labda nimo alafu ukiingia unakutana na picha zinatembea tu.Ata me nilishindwa asee lazma nipite mara kwa mara
Dah acha tu mkuu yaani me nmepiga oral tatu mpaka leo hakuna alieitwa kazini na bado naitwa kuatend interview zingine. Imagine unaenda kwenye usaili uku saili zote za nyuma majibu hayajawahi kutoka.[emoji1787] [emoji1787] wanakaadiction flan hivi yaan mtu unaweza ukakaa siku nzima jioni unashtuka mmh labda nimo alafu ukiingia unakutana na picha zinatembea tu.
Hivi ndio hiyo sababu hawa wapuuzi utumishi ya kwamba Rais alikuwa hajaidhinisha vibali vya ajira mpya walisema kwenye ile press conference yao ?Dah acha tu mkuu yaani me nmepiga oral tatu mpaka leo hakuna alieitwa kazini na bado naitwa kuatend interview zingine. Imagine unaenda kwenye usaili uku saili zote za nyuma majibu hayajawahi kutoka.
Bado napata ukakasi kwenye hilo swala la bajeti kwa sababu kuna taasisi tulizitangulia kufanya usaili ila tayari watu wameitwa kazini. Sasa inamaana bajeti iliyopo inabagua taasisi au me sielewi kabsa. Na inakuwaje wanatangaza kazi wakaki bajeti haipo.Hivi ndio hiyo sababu hawa wapuuzi utumishi ya kwamba Rais alikuwa hajaizinisha vibali vya ajira mpya walisema kwenye ile press conference yao ?
Maana hata sikusikiliza takataka walizokuwa wanaongea ,
Sasa kama Rais kathibitisha hizo ajira mpyabona hatuoni changes za kasi ya watu kupata Placement ?
Inashangaza sanaBado napata ukakasi kwenye hilo swala la bajeti kwa sababu kuna taasisi tulizitangulia kufanya usaili ila tayari watu wameitwa kazini. Sasa inamaana bajeti iliyopo inabagua taasisi au me sielewi kabsa. Na inakuwaje wanatangaza kazi wakaki bajeti haipo.
Ni kweli maana database imejaa hukoKama wamepata vibali 46000 tulitarajia tuone majina mengi ya replacement kuanzia sasa
Na idadi ya watu database inaongezeka tu.nawaza kwanini hao wasichukuliwe kwanza.from budget; mpaka sasa kuna watu 6,326 kwenye database, ajira zilizotakiwa mwaka huu wa fedha 47k, nafasi zilizojazwa ni elfu tatu tu!
Inamaana umejumuisha na Ajira ambazo zipo Tamisemi...from budget; mpaka sasa kuna watu 6,326 kwenye database, ajira zilizotakiwa mwaka huu wa fedha 47k, nafasi zilizojazwa ni elfu tatu tu!
Subiri asali yako 100%Dah acha tu mkuu yaani me nmepiga oral tatu mpaka leo hakuna alieitwa kazini na bado naitwa kuatend interview zingine. Imagine unaenda kwenye usaili uku saili zote za nyuma majibu hayajawahi kutoka.
Ngoja nisubiri mzee kesho naenda kupiga oral ya nne na uku oral tatu nyuma bado majibu hayajatoka toka nifanye usaili.Subiri asali yako 100%
Kila la kheri YoshNgoja nisubiri mzee kesho naenda kupiga oral ya nne na uku oral tatu nyuma bado majibu hayajatoka toka nifanye usaili.
Wewe andaa suti tu ajira zitamwagwa sana kabla ya 2025Ngoja nisubiri mzee kesho naenda kupiga oral ya nne na uku oral tatu nyuma bado majibu hayajatoka toka nifanye usaili.
Siku hizi mambo ni rahisi sana.Hongera kwa kulamba asali, panda gari la J2 usiku ufike pale masijala asubuhi uchukue barua siku hy hy uondoke zako. Hakuna ht haja ya pesa ya gesti.
Asante sana ndugu yang ngoja nikapambane nao mpaka kieleweke.Kila la kheri Yosh