El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
ingia youtube tu π€£ π€£Yani ndo nimemaliza kuuza miwa hapa rangi 3, ile naingia kuwachek PSRS nakutana na kitu kizito daah bora bando ningenywea supu ya kongoro ya jero[emoji3]
Ninunue kiwanja haja sijathibitishwa kazini.Yaani ile paap nimelamba asali utumishi, ile miezi ya mwanzoni mwanzoni naupa mwili pole . Mtu akija na vishauri vyake sijui nunua kiwanja sijua bana matumizi nampa tusi. πππ
Sio bure aisee, kimya kimekuwa kingi mno!Jamani lkn placement zitakuwa zimesimamishwa sio bure mbn zamani walikuwa wanatoa ata Kwa interval ya siku 10 mpk 10 sahv jamani watakuwa wamesimamisha sio bure. Maana ata ndg zetu walimu na watu wa afya holaaah
pdf litakalokuja naona simu zitajirestart...Sio bure aisee, kimya kimekuwa kingi mno!
Litakuwa zito balaapdf litakalokuja naona simu zitajirestart...
π€£ π€£ π€£Litakuwa zito balaa
1. Madereva 120
2. Ugavi/Manunuzi na Accounting officers 70
3. Kilimo msaidizi 60
4. Mwandishi mwendasha ofisi 40
5. RMA 20
6 Kada zilizobaki 7
Naomba kuwasilishaπ π
???tamisemi si ndio inatangazaga ajira za ualimu hawa utumish inakuaje tena..??
Hamna kitu kama hicho, tusijipe fake hopes, psrs wamekuwa nonsense upande wa placement this yearpdf litakalokuja naona simu zitajirestart...
π€£π€£π€£Litakuwa zito balaa
1. Madereva 120
2. Ugavi/Manunuzi na Accounting officers 70
3. Kilimo msaidizi 60
4. Mwandishi mwendasha ofisi 40
5. RMA 20
6 Kada zilizobaki 7
Naomba kuwasilishaπ π
Daaah aisee. πππLitakuwa zito balaa
1. Madereva 120
2. Ugavi/Manunuzi na Accounting officers 70
3. Kilimo msaidizi 60
4. Mwandishi mwendasha ofisi 40
5. RMA 20
6 Kada zilizobaki 7
Naomba kuwasilishaπ π
Nikushauri siku mara paap mambo safi kwanza usipande magari ya usiku ili ufike asubuhi utakuwa unautesa tu mwili chukua basi ya saa tatu asubuhi kimbinyiko au shabiby Ile yenye choo ndani fikia lodge kali jioni baada ya kufika tembelea tembele kule udom na maneno ya Makulu kule usiende chako ni chako hakufai kule lala asubuhi wahi mapema Asha rose Migiro mpk saa nne ushamalizana nao faster unawahi chuma safi shabiby stand pale utaenjoy sanaYaani ile paap nimelamba asali utumishi, ile miezi ya mwanzoni mwanzoni naupa mwili pole . Mtu akija na vishauri vyake sijui nunua kiwanja sijua bana matumizi nampa tusi. πππ
kwanini chako ni chako hakufaiNikushauri siku mara paap mambo safi kwanza usipande magari ya usiku ili ufike asubuhi utakuwa unautesa tu mwili chukua basi ya saa tatu asubuhi kimbinyiko au shabiby Ile yenye choo ndani fikia lodge kali jioni baada ya kufika tembelea tembele kule udom na maneno ya Makulu kule usiende chako ni chako hakufai kule lala asubuhi wahi mapema Asha rose Migiro mpk saa nne ushamalizana nao faster unawahi chuma safi shabiby stand pale utaenjoy sana
Mkuu elewa tu hakufaikwanini chako ni chako hakufai
π€£ π€£ π€£ tayaarOy hiyo update ya app mbona mapicha picha mengi wazee. Selected for oral zimebadilishwa zimekuwa written.. πππ
MAUA SAMA FT NEY WAMITEGOπ₯²Oy hiyo update ya app mbona mapicha picha mengi wazee. Selected for oral zimebadilishwa zimekuwa written.. [emoji23][emoji23][emoji23]
Tayari nini mkuuπ€£ π€£ π€£ tayaar
Mengine tenaπππOy hiyo update ya app mbona mapicha picha mengi wazee. Selected for oral zimebadilishwa zimekuwa written.. πππ
Acha nirudishe toroli nikalale gheto sasa[emoji3]ingia youtube tu [emoji1787] [emoji1787]
au bas tutakesha π€£ π€£Tayari nini mkuu