Uhitaji bado ni mkubwa mkuuTukumbuke tu mwaka Jana wameajiri wengi sana usikute uhitaj wa watu makzin umepungua ndo maana haya yanatokea
Mkuu ninatumie wifi ya TTCL mpaka sasa sinatoboaTumia network ya TTCL ipo vizuri ila kuna shida ya intanet Afrika mashariki tangu juzi, kuna cable imekatika baharini. ISP wengi wa bongo mtandao upo slow hadi leo.
kibari kimetolewa 46,000 na kimesainiwa na MAMA ...Kama wamepitisha watoto wao hapo sawa Waseme ?...auTukumbuke tu mwaka Jana wameajiri wengi sana usikute uhitaj wa watu makzin umepungua ndo maana haya yanatokea
IsWAJOMBA MLIOFANYA TEST ZA LEO KADA ZA ACCOUNTS OFFICER II NA WATU WA KILIMO, VIPI WENZETU PAPER LILIKUWAJE AU NDIO MIKANDO JUU YA MIKANDO, MWENDO WA KUTOKA VICHWA CHINI.
Wameoa cost accounting,Isa 8,38, na zingine na mwasali ya foundation account,calculation zilikuwepo manufacturing accountWAJOMBA MLIOFANYA TEST ZA LEO KADA ZA ACCOUNTS OFFICER II NA WATU WA KILIMO, VIPI WENZETU PAPER LILIKUWAJE AU NDIO MIKANDO JUU YA MIKANDO, MWENDO WA KUTOKA VICHWA CHINI.
Acha woga kijana unaweza kukuta hiyo 60 usifike wakafaidi mafao wengine wewe Mungu akikujaalia ukapata miaka 3 ya mwanzo rudisha shukrani kwa mwili wako kula bata kidogo sio unastaafu ndio unaanza kujirusha utasumbua wajukuuWanatunyoosha.... tukipata tusisahau kuwekeza...hii hali itatukuta after 60yrs tusipojipanga
natokaje usawa huu.hapa mpaka saa 3 usiku ndio naweka silaa chiniHahaha naona hutoki kwenye web mkuu🤣
Usiweke silaha chini. Kuna muda wanatoa mikeka night kali, hapa kama umeingia oral ni kuzama online frequentlynatokaje usawa huu.hapa mpaka saa 3 usiku ndio naweka silaa chini
Hali tete sijui why placement zimepunguaaa. Daaah.. since april 22 . Kuna namnanatokaje usawa huu.hapa mpaka saa 3 usiku ndio naweka silaa chini
Miezi hii kwa placement mwsho saa 12natokaje usawa huu.hapa mpaka saa 3 usiku ndio naweka silaa chini
mmh kwa sasa ukiona imefika saa mbili hamna kitu ingia zako youtube tu umalizie mb 🤣 🤣B
Usiweke silaha chini. Kuna muda wanatoa mikeka night kali, hapa kama umeingia oral ni kuzama online frequently
Sawa sawa jipende kwanza..Acha woga kijana unaweza kukuta hiyo 60 usifike wakafaidi mafao wengine wewe Mungu akikujaalia ukapata miaka 3 ya mwanzo rudisha shukrani kwa mwili wako kula bata kidogo sio unastaafu ndio unaanza kujirusha utasumbua wajukuu
hatari.kipindi cha cdo ilikua mpaka saa 7 usikuMiezi hii kwa placement mwsho saa 12
Hakuna watu Mungu aliwazawadia placement Kama CDO'S kwa mwaka janahatari.kipindi cha cdo ilikua mpaka saa 7 usiku