Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hamjui huyu kichaa
mbona unatukana? Kwani hili jukwaa la kutukanana wazazi? What if ukafanya ustaarabu ukanyamaza kama wengine?
Bila shaka elimu yako haijakusaidia
Kama una kili kwamba huyo ni kichaa,why umtukane kichaa,je na ww upo kindi moja na umtukanaye na kumwita kichaa? Maana yeye sina hakika kama amepost tusi
 
Pdf niliyokuwa naisubiri ilitoka juzi na sikuwepo, haya haya wakuu nawaaga rasmi tutaonana tena siku nikifanya application na kumaliza interview.
 
Back
Top Bottom