Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

huyu raisi amechangia kiasi kikubwa sana katika hili.sijui aliwaza nini kuweka mifumo miwili ya kuajiri maana hapo wewe unalalamika wenzio nyuma ya pazia wanaingia kiulaini tena taasisi nzitonzito sie tunasubiri mamikeka ya tutorial assistant
Mtu anaombewa nafasi anaambiwa hakuna anajibu usiniambie ivo nafasi hakuna,aah sawa mkuu basi ngoja tuangalie mkuu mara uyo mtu anapigiwa simu anambiwa njoo j3 na vyeti vyako uripoti😭😭,tena izo taasis zinazoajir wenyewe ndo ovyo kabisa ni mwendo wa 1 call na its order hakuna wa kupinga.
 
utumishi bana yaani mie nimesoma udereva nina cheti na leseni ninayo ila siwezi apply nashuhudia masuka wenzangu wanavyomiminiwa asali mbichi.. 🤣 🤣
Pole badirisha vyeti kwenye portal mkuu weka vya udereva kapige usahili ukitoboa ukaingia kwenye system baadae unabadirisha fani juu kwa juu huku ukilamba asali madereva ni ma last born wa utumishi wa umma
 
Naona Sasa ni mwendo wa at least 3.8 GPA out of 5.0😅😅
Wale wa gentleman GPA mapumziko kidogo.
Karibuni tuongeze received hata Kama hatuna hobi ya kufundisha.
Afu Tutorial Assistant 1 post.
 
Back
Top Bottom