Mo Said 83
Member
- Apr 24, 2024
- 34
- 39
ShukraniHapo mkuu itabid uijue chemistry...unaweza kutana na equation za kutosha...soma sana na usiache kwenda ili upate uzoefu
wamesema tuupdate kwanAjira portal nayo kila siku tuupdate lakn hamna jipya
Wakuu msaada kwenye tuta hapaaaaaNaomba msaada wa specification ya profile photo ya kwenye ajira portal.
Height, width, size kwa maana ya mb na format yake pia
Mkuu pale ukikosea wanaleta dimensions za picha inayotakiwa...ile error message nyekundu isomeWakuu msaada kwenye tuta hapaaaaa
Kuna kuandika maswali manner yanayohusu ajira yako somo la chemistry na oralHabari za mida hii,Jamani kwa wazoefu wa ajira portal sijawahi kufanya usaili wa ajira portal nimeomba ajira za ualimu (chemistry) mwajiri ni MDA&LGA Naombeni mnisaidie nipate mwanga sehemu ya kukoncetrate ili nifaulu hiyo paper,Msaada wenu ni muhimu
Kuna kapdf uko🤣wamesema tuupdate kwan
Tena mchana kweupe wametoa🤣🤣Amaa kwel pdf hazitabiliki🤣
Wanasema hawapati go ahead kwa wakati😂Amaa kwel pdf hazitabiliki🤣
Acha kabsaWanasema hawapati go ahead kwa wakati😂
Tumeliona bhna,hongera kwa waliopataKuna pdf huko mkapitie mje mtoe ushaidi
yaan kwenye pdf la leo angalau nimeona kada yangu baada ya miezi mitatu khaaKuna kapdf uko🤣
Mm kila pdf afisa Muuguzi msaidizi lazima iwepo ila jina langu ndo silioniyaan kwenye pdf la leo angalau nimeona kada yangu baada ya miezi mitatu khaa