Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

wengine interview 3 hatujaitwa hata oral moja.

tupo kwenye mark 42,yapili 42 na ya3 48 sijajua kwamba nipo kwenye kupanda tu au ya nne ntapigwa kick nitue mpk 20
Usikate tamaa ndugu ipo sku utafika oral, usichoke kuhudhuria Kila usaili unaoitwa.
 
Yan Kila pdf inapotoka mtu unapiga jicho hola yan dah aisee sio poa jaman.....cku naona jina langu kweny DB aisee nitakata viuno vya ukweni Kwa muda usiopungua lisaa,mtaani kigum jamn Yan kigum mpaka pdf ikitoka mtu unakuwa mvivu kuangalia....dah
 
Yan Kila pdf inapotoka mtu unapiga jicho hola yan dah aisee sio poa jaman.....cku naona jina langu kweny DB aisee nitakata viuno vya ukweni Kwa muda usiopungua lisaa,mtaani kigum jamn Yan kigum mpaka pdf ikitoka mtu unakuwa mvivu kuangalia....dah
Hahahaaa yaan wanaoona majina Yao sjui wanatumia lenz gani!?
 
Tuendelee kuvumilia tutafikiwa tu... imagine mtu wa may 2023, imelamba asali leo
 
Wale mnaobishania status note hiki kitu ukiona baada ya oral kwenye app umeandikiwa not selected for oral interview sio kwamba umefeli mazima hapo inamaanisha wale waliohitajika kwenye nafasi husika wamekamilika kwaiyo hiyo nafasi huwezi kupata PDF la placement likitoka, lakini endelea kufatilia mkeka wa placement lolote linaweza kutokea kupangiwa kupitia database ila hiyo nafasi husika huwezi kupata. Nina shuhuda nyingi tu watu kupangiwa kupitia database wakiwa na not selected for oral kwenye App.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…