Ashamery
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 171
- 185
Usikate tamaa ndugu ipo sku utafika oral, usichoke kuhudhuria Kila usaili unaoitwa.wengine interview 3 hatujaitwa hata oral moja.
tupo kwenye mark 42,yapili 42 na ya3 48 sijajua kwamba nipo kwenye kupanda tu au ya nne ntapigwa kick nitue mpk 20