Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yan Kila pdf inapotoka mtu unapiga jicho hola yan dah aisee sio poa jaman.....cku naona jina langu kweny DB aisee nitakata viuno vya ukweni Kwa muda usiopungua lisaa,mtaani kigum jamn Yan kigum mpaka pdf ikitoka mtu unakuwa mvivu kuangalia....dah
 
Yan Kila pdf inapotoka mtu unapiga jicho hola yan dah aisee sio poa jaman.....cku naona jina langu kweny DB aisee nitakata viuno vya ukweni Kwa muda usiopungua lisaa,mtaani kigum jamn Yan kigum mpaka pdf ikitoka mtu unakuwa mvivu kuangalia....dah
Hahahaaa yaan wanaoona majina Yao sjui wanatumia lenz gani!?
 
Wale mnaobishania status note hiki kitu ukiona baada ya oral kwenye app umeandikiwa not selected for oral interview sio kwamba umefeli mazima hapo inamaanisha wale waliohitajika kwenye nafasi husika wamekamilika kwaiyo hiyo nafasi huwezi kupata PDF la placement likitoka, lakini endelea kufatilia mkeka wa placement lolote linaweza kutokea kupangiwa kupitia database ila hiyo nafasi husika huwezi kupata. Nina shuhuda nyingi tu watu kupangiwa kupitia database wakiwa na not selected for oral kwenye App.
 
Back
Top Bottom