Anakuzingua tu we subiri hiyo IAEMUCE-selected for oral
IAE-shortlisted
Nimejaribu kumtext alieripot MUCE, anasema ye tangu amepiguwa simu hajawahi ingia kwenye account
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuzingua tu we subiri hiyo IAEMUCE-selected for oral
IAE-shortlisted
Nimejaribu kumtext alieripot MUCE, anasema ye tangu amepiguwa simu hajawahi ingia kwenye account
Hata hii watu tumepigiwa simu hapa tukaanze kazi.Nilikwambia subiri IAE mzee😂😂😂😂😂😂
Hii huwa wanaangaliana kuchek nani ajibu haswa ukiwakanda vzr wale wenye taasisi wanajibu [emoji3][emoji3][emoji3]Hapa inabidi nikajizolee point maana wao kunikanda ni rahisi, nikiwauliza swali hasa likiwa la technical naweza kufukia mashino nitakayokutana nayo
😂😂😂😂Kijana wa hovyo unataka kumpanikisha Ahmet hahhhhHata hii watu tumepigiwa simu hapa tukaanze kazi.
natania🤣🤣🤣
Kaka ulishanitoa mchezoni, daah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hata hii watu tumepigiwa simu hapa tukaanze kazi.
natania🤣🤣🤣
Nilishapanic kwakweli😂😂😂😂Kijana wa hovyo unataka kumpanikisha Ahmet hahhhh
😂😂😂😂Haya mambo inatakiwa uishi Yani Ukikosa kama umepata na ukipata kama umepataKaka ulishanitia mchezoni, daah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tulia kijana vip oral mlikua wangapi na nafasi ilitaka wangapiNilishapanic kwakweli
Oral tulikuwa 24 na nafasi 9 (tumaini langu la mwisho,)Tulia kijana vip oral mlikua wangapi na nafasi ilitaka wangapi
😂😂😂😂Hahhhhh Mimi kwa nilipofikia naona yote sawa tuNilishapanic kwakweli
Andaa suti tu mkuuOral tulikuwa 24 na nafasi 9
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaka umeongea kimasihara lkn nadhani tuishi humu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mambo inatakiwa uishi Yani Ukikosa kama umepata na ukipata kama umepata
😂😂😂😂Hapo Ushapata mzee hofu yanini??ingekuwa zile za post moja sasa ungefanyaje??Oral tulikuwa 24 na nafasi 9
Mimi swali nataka nilielekeze kwenye taasisi, kwa hiyo nataka nikawachallenge hata kama watanikanda[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii huwa wanaangaliana kuchek nani ajibu haswa ukiwakanda vzr wale wenye taasisi wanajibu [emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂Mimi hiyo huwa inanisaidia ili kupunguza presha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaka umeongea kimasihara lkn nadhani tuishi humu.
Wengi Sana hao aandae suti tuOral tulikuwa 24 na nafasi 9 (tumaini langu la mwisho,)
MUCE oral 3 nafasi 1 (nishakandwa)
Muhas oral 5 nafasi 2 (nishakandwa)
Hahaha acha tuone, ni Dua tu mzeeWengi Sana hao aandae suti tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uwakande vizuriMimi naandaa swali nitaomba niwaulize
Namba ya wafanyakazi inatakiwa iendane na ratio ya kazi iliyo so wafanyakazi wakizidi unawahoji kwanini kazi inahitaji watu wanne nyie mmeajili 10??