sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
Sijui nisemaje ila all in all najipanga upya nina receiver moja ya tanapa, oral nilifika moja wakaandika not selected for oral nahisi nililiwa kichwa.Mkuu sam mirror 1 unasubiri database au apa kati kati umepiga saili
Hamna mkuu ukiona not selected for oral after oral inamaana huwezi kupata post husika kwa sababu wenye vigezo wametimia Cha msingi endelea kufatilia PDF lolote linaweza kutokea kupitia database lakini kama walitangaza na kwingine tena kada the same na yako apo huenda umekosa mazima.Sijui nisemaje ila all in all najipanga upya nina receiver moja ya tanapa, oral nilifika moja wakaandika not selected for oral nahisi nililiwa kichwa.
Hamna mkuu ukiona not selected for oral after oral inamaana huwezi kupata post husika kwa sababu wenye vigezo wametimia Cha msingi endelea kufatilia PDF lolote linaweza kutokea kupitia database lakini kama walitangaza na kwingine tena kada the same na yako apo huenda umekosa mazima.
Sina matumaini, ni toka mwaka jana mwezi wa 6, najipanga upya, Mungu mwm nitatoboa.Hamna mkuu ukiona not selected for oral after oral inamaana huwezi kupata post husika kwa sababu wenye vigezo wametimia Cha msingi endelea kufatilia PDF lolote linaweza kutokea kupitia database lakini kama walitangaza na kwingine tena kada the same na yako apo huenda umekosa mazima.
🤣kabinu mbinwu mpyaUmeamua kuja na ving'ora sasa
Kama status inasoma not selected ni kujipanga upya,kusubir interview nyingine kwakwelSina matumaini, ni toka mwaka jana mwezi wa 6, najipanga upya, Mungu mwm nitatoboa.
Dah analeta utani kwenye vitu serious...🤣kabinu mbinwu mpya
Wewe si ulisema umepata kaziSijui nisemaje ila all in all najipanga upya nina receiver moja ya tanapa, oral nilifika moja wakaandika not selected for oral nahisi nililiwa kichwa.
Aisee lini tenaWewe si ulisema umepata kazi
Wachangamshe mkuu hadi waelewe.. 🤣🤣🤣🤣
Ataacha akilamba asali uyoDah analeta utani kwenye vitu serious...
Asali kama asali wote tunatamani kuilambaWewe si ulisema umepata kazi
poa uishi miaka mingi prof.AmenWachangamshe mkuu hadi waelewe.. 🤣🤣🤣🤣
Hapana hapo Huwa wanamaanisha kuwa sio kwamba umefeli mazima maana yake Ile post husika huwezi kupata kutokana na ufinyu wa nafasi Cha msingi ni kuendelea kuchungulia PDF lolote linaweza kutokea ni ushahidi kuhusu hiliKama status inasoma not selected ni kujipanga upya,kusubir interview nyingine kwakwel
Nadhani umeelezea vizuri sana kuhusu hiliHapana hapo Huwa wanamaanisha kuwa sio kwamba umefeli mazima maana yake Ile post husika huwezi kupata kutokana na ufinyu wa nafasi Cha msingi ni kuendelea kuchungulia PDF lolote linaweza kutokea ni ushahidi kuhusu hili
Daaah umejibu kisiasa sana aisee.. yaani hujakubali wala kukataa.. safiii 🤣🤣🤣🤣Asali kama asali wote tunatamani kuilamba
pinacoldee unaona mambo ya majobless ayo.omba upate kazi mapema usije na wewe ukaanza kuweka vimulimuli humu.. 🤣 🤣Eeh w
We sijui unavutaga cha wapi🤣