sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
Mapambano yanaendelea no regret no surrender, Mungu wetu sote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah PSRS wanachotufanyia jobless siyo kitu kizurii kabisaaaDaaah hii pdf ya leo jau sana.
Mkuu unachokifanya ni kama unaipaka make up hiyo not selected for oral iwe na muonekano mzuri ila kiuhalisia ukiona not selected ni baba jeni bye bye😂Wale mnaobishania status note hiki kitu ukiona baada ya oral kwenye app umeandikiwa not selected for oral interview sio kwamba umefeli mazima hapo inamaanisha wale waliohitajika kwenye nafasi husika wamekamilika kwaiyo hiyo nafasi huwezi kupata PDF la placement likitoka, lakini endelea kufatilia mkeka wa placement lolote linaweza kutokea kupangiwa kupitia database ila hiyo nafasi husika huwezi kupata. Nina shuhuda nyingi tu watu kupangiwa kupitia database wakiwa na not selected for oral kwenye App.
anajaribu kuipetipeti not selected for oral 🤣 🤣Mkuu unachokifanya ni kama unaipaka make up hiyo not selected for oral iwe na muonekano mzuri ila kiuhalisia ukiona not selected ni baba jeni bye bye😂
Haya watakuwa wamemaliza chup juzi wapandishe juu waone mziki wakeanajaribu kuipetipeti not selected for oral [emoji1787] [emoji1787]
Aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]PDF IJAYO ITAKUA NA JINA MOJA TU, NALO NI LANGU TUSEME AMEN!!
Kweli kabisa kaka, daah! Ni mateso yaani!😄, Na watoto wetu waje wateseke hivi!? Hapana!Aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena kada yenyewe itakuwa ya upishi kama si usekretari
Ila huu upuuzi , aisee yoyote atakayefanikiwa kupata upenyo wa kuingiza riziki ,ajipange vizuri mtoto wake asije kupitia msoto kama ambao jobless WA nchi hii anapitia .Msoto wa kufukuzia ajira nchi hii sio kabisa .
Haya sio maisha kabisa .
Fighting for crumbs .
Hapana mzee ,sitaki mtu apitie hii njiaKweli kabisa kaka, daah! Ni mateso yaani![emoji1], Na watoto wetu waje wateseke hivi!? Hapana!
Haifai kabisaHapana mzee ,sitaki mtu apitie hii njia
Ni njia mbaya sana
SureInabidi kujiweka vizuri kiuchumi na kuacha mifereji ya kiuchumi kwa kizazi unachoaacha la sivyo ni hatari kwa kweli .
Hii sio pdf, ni masihara kabisa haya😄Hii pdf ya utumishi leo ndio tuiiteje ?
Ila hawa jamaa hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunako elekea Jobless.......!!!!Kesho tarehe 30 May 2024 wanafungua Dirisha la ajira