Sure mwanangu, sio kama halmashauri ya Itilima ukoKuna impact mzee hizo taasisi zote zilizoongoza kwa gawio ndo Kuna asali balaaa maana zinatengeneza faida kwaiyo maslahi ya mfanyakazi lazima yawe mazuri.
Taasisi zipi izo.Mkuu hizo taasisi zina marupurupu kibao na yanalipwa kwa wakat
Nimeona..TASAC,BRELA,TCRA,TPATaasisi zipi izo.
Kwa mtazamo wangu naamini taasisi nyingi tu zinamarupurupu na mishahara mizuri zaidi ya hizo zilizo hapo inategemea tu position yako. Niko moja ya taasisi zilizotoa gawio tena ni private ila nasotea PDF, so najibu with experienceKuna impact mzee hizo taasisi zote zilizoongoza kwa gawio ndo Kuna asali balaaa maana zinatengeneza faida kwaiyo maslahi ya mfanyakazi lazima yawe mazuri.
Uko halmashauri kuna wakuu wa Idara wanakula asali tuSure mwanangu, sio kama halmashauri ya Itilima uko
Kweli mkuu...ila mpk ufike ni kasafari lakin kweny taasis kuna unafuuUko halmashauri kuna wakuu wa Idara wanakula asali tu
Ni kweli taasis ni nafuu sana kuliko halmashauri, but my point tusiangalie zaidi tunaanzia au kuingia wapi. Tuingie huko ndani kwanza kisha akili yakupata mazuri zaidi itakuja, ngumu sana kuwaza maendeleo tumbo likiwa na njaaKweli mkuu...ila mpk ufike ni kasafari lakin kweny taasis kuna unafuu
Hakuna uhusiano ila mdau ametumia kama ishara ya kuonesha hizo taasisi ziko vizuri. Kwa maana km zimetoa gawio inamaana zimetengeneza faida so anaamini hata benefits kwa employees zitakuwa nzuriNaombeni mnijibu tena GAWIO LINAHUSIANA VIPI NA AJIRA
Kweli, uko taasisi ni maombi kwa Mungu lakini asipojibu ni sawa tunaenda popoteNi kweli taasis ni nafuu sana kuliko halmashauri, but my point tusiangalie zaidi tunaanzia au kuingia wapi. Tuingie huko ndani kwanza kisha akili yakupata mazuri zaidi itakuja, ngumu sana kuwaza maendeleo tumbo likiwa na njaa
Taasisi inayotoa Gawio maana yake inaweza kujiendesha vizuri, iko stable, kama mfanyakazi unaweza pata benefits nzuri.Naombeni mnijibu tena GAWIO LINAHUSIANA VIPI NA AJIRA
We jamaa😄, umerudi na upo kimya! Hauombi radhi kwa ulichotudanganya umma wa jobless, unaroho ngumu sana😄Hakuna uhusiano ila mdau ametumia kama ishara ya kuonesha hizo taasisi ziko vizuri. Kwa maana km zimetoa gawio inamaana zimetengeneza faida so anaamini hata benefits kwa employees zitakuwa nzuri
Why Itilima lakini😂😂Sure mwanangu, sio kama halmashauri ya Itilima uko
Hakuna kitu kama hiko.Wanalalamika waombaji wengi hawajakidhi vigezo. Ukiona umeitwa ni kwasababu hakuna chaguo la pili lakini ni hamna kitu.
Kama wewe ni mwasibu ukitwa Utumishi ujue pale KPMG, PWC hata ukarani hupewi.
Kama wewe ni mwanasheria, wakikuita ujue uwakili wa binafsi huwezi.
Kuna malalamiko mengi, ila hakuna namna, graduates wengi wa sasa ndio wale wamefanya mitani ya kuchagua, unawekewa majibu wewe unatafuta fomula.
Huwa tunapeana hope ya kuendelea kusubiri🤣🤣..... Usijali pdf la 10 mb is loadingWe jamaa😄, umerudi na upo kimya! Hauombi radhi kwa ulichotudanganya umma wa jobless, unaroho ngumu sana😄
🤣🤣🤣 Watu tukajua ni za ndani kabisa, kumbe ramli chonganishi🤣Huwa tunapeana hope ya kuendelea kusubiri🤣🤣..... Usijali pdf la 10 mb is loading
Umu hamna za ndan tuliobak wote hatuna connection kutoka juu,tumebak madunga embe tu🤣🤣🤣🤣 Watu tukajua ni za ndani kabisa, kumbe ramli chonganishi🤣
Daah!😄Umu hamna za ndan tuliobak wote hatuna connection kutoka juu,tumebak madunga embe tu🤣