Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Si naskiaga watu wanapigiwa simu..labda ukiwa hupatikani,ila mwaka mzima Huna taarifa yyte mmmh ata wambea hajakutafuta kukupa hongera
Sidhani kama imewahi tokea, ni ishu ya kufikirika, kwa zama hizi taarifa lazima uzipate hata ukiwa uvunguni mwa bahari
 
Back
Top Bottom