Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
Npo tayarii mkuu,we nipewe tu check no hiyo kwanz sitaki kukaa dar mm😉Ufipani kwa wachawi au Namanyere upo tayari kwenda, na hakuna uhamisho kwa miaka 5 ya kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npo tayarii mkuu,we nipewe tu check no hiyo kwanz sitaki kukaa dar mm😉Ufipani kwa wachawi au Namanyere upo tayari kwenda, na hakuna uhamisho kwa miaka 5 ya kwanza?
Mkuu unalalaje mpaka sasa ivi🤣,ata kuhesabiwa kwenye web bado hawajakuona ukodahh tutakoma aisee
Daaah!!Psrs nipo tayar kupangiwa popote,mnipe iyo check no sasa😂😂, mtaani kugumu
pinacoladee pumzika utakufa pdf mpaka next weekMkuu unalalaje mpaka sasa ivi🤣,ata kuhesabiwa kwenye web bado hawajakuona uko
Mlele, why mlele?! 😄Dah ila inaonesha pamoto, katikati ya mapori😄Vijana washaweka bando, wanaskilizia tu.
Tatizo kila mmoja anataka kuaznia kazi DAr es salaam, hawataki huku Mlele wilayani.
Hakikisha hatuingizwi chaka😄Morning!!! Nawakumbusha
Sidhani kama imewahi tokea, ni ishu ya kufikirika, kwa zama hizi taarifa lazima uzipate hata ukiwa uvunguni mwa bahariSi naskiaga watu wanapigiwa simu..labda ukiwa hupatikani,ila mwaka mzima Huna taarifa yyte mmmh ata wambea hajakutafuta kukupa hongera
Bado dakika 26 kufika hiyo saa tisa😄Morning!!! Nawakumbusha
Kwan kuna mkuu uko juu si kasem kuanzia leo saa 9 tuwe na bando jmnpinacoladee pumzika utakufa pdf mpaka next week
🤣🤣 Saa tisa haijaisha, tutachotwa kwelikweli mwaka huu🤣Kwan kuna mkuu uko juu si kasem kuanzia leo saa 9 tuwe na bando jmn
😃tupo live mkuu ngj tuendelee kuchungulia chungulia,baba yanatutesaaaa🤣🤣 Saa tisa haijaisha, tutachotwa kwelikweli mwaka huu🤣
bando kwaajili ya youtube au.. 🤣 🤣Kwan kuna mkuu uko juu si kasem kuanzia leo saa 9 tuwe na bando jmn
Tafadhali, karipoti kituo chochote cha polisi kilicho karibu naweMorning!!! Nawakumbusha
Mmh, hizi ni ramli chonganishi hizi😄, anyway, tar 15 ni wiki hii hii, usikimbie kama mwenzako buti la mzunguTukutane kuanzia tar 15 mwezi huu wa nwisho wa serikali una PDF nyingi
Tarehe 15 ni jmos..hakuna kitu ni ramli tu hizo..tena kuna interview kibao weekend hiiMmh, hizi ni ramli chonganishi hizi😄, anyway, tar 15 ni wiki hii hii, usikimbie kama mwenzako buti la mzungu
Ata kama ni w'end sisi tupo tayar kupokea good news🤣Tarehe 15 ni jmos..hakuna kitu ni ramli tu hizo..tena kuna interview kibao weekend hii