Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nini MTU afanye ikitokea amepata placement halafu hana habari hajaona pdf zaidi ya mwaka mzima ndio anapata taarifa. Je nafasi yake imepotea?
 
Nini MTU afanye ikitokea amepata placement halafu hana habari hajaona pdf zaidi ya mwaka mzima ndio anapata taarifa. Je nafasi yake imepotea?
Si naskiaga watu wanapigiwa simu..labda ukiwa hupatikani,ila mwaka mzima Huna taarifa yyte mmmh ata wambea hajakutafuta kukupa hongera
 
Nilikua nasoma comments za nyuma za hii thread kumbe adi wa kina Mwifa walikua wanalalamik mpaka wanasema kwanini matokeo ya oral yasiachiwe hadharani,ilifika kipndi walivunjika moyo wakina mfwende😂😂..so moyo kuumia,kulalamika ipo automatic but ndo ivo tunaanguka tunajikokota tena mpk kieleweke.Giving up is not an option,mapambano yaendelee🫠
 
Back
Top Bottom