Ishi nayo hiyo mzeeNimeicheki kitambo tuView attachment 2407726
ππππHuyo kwenye picha hata sio MimiKumbe jamaa una choggo namna hyoπππ but joking mkuu
Sasa niende wapi mkuuππππJobless unaenda baharini?ukibebwa na maji umulaumu nani sasa?
Duh atariNimepata tarifa nyeti sana next mkeka na call for interview TRA acha nianze kusoma sana nimeambiwa mkando wake Sio wa kawaida ni balaaa tupu.
ππππSasa mzee wewe si tayari Ushapata au?Nimepata tarifa nyeti sana next mkeka na call for interview TRA acha nianze kusoma sana nimeambiwa mkando wake Sio wa kawaida ni balaaa tupu.
Nimepata nn mkuu barua then hakuna kazi niliyonayo aisee utaratibu ukisitiswa je kama kipindi cha magu wakati anakagua vyeti feki Kuna watu walikua na barua mkononi Hadi Leo wapo kitaaa so taasis inaweza sema now mpango wa ajira haupo mpka hapo badae na ikawa hivyo Zaid ya Miaka mkuu then sehemu zingine wakaendelea na utaratibu mfano niliona tagazo website ya ajira Kuna tagazo la kuahirishwa usaili muce kama sijakosea Sasa kama nitakua nimekaa tu bila kuwepo kazini mkuu siwezi kuacha kwenda interview inayotaka watu 26 hata huko nyuma nilisema siku wakiita kwenye interview Bado nipo kitaaa nitaenda ila kama nipo kazini siwezi kwenda kuziba nafasi za watu na Nina kazi mkuuππππSasa mzee wewe si tayari Ushapata au?
Dah wale jamaa waliumizwa sana kipind cha maguNimepata nn mkuu barua then hakuna kazi niliyonayo aisee utaratibu ukisitiswa je kama kipindi cha magu wakati anakagua vyeti feki Kuna watu walikua na barua mkononi Hadi Leo wapo kitaaa so taasis inaweza sema now mpango wa ajira haupo mpka hapo badae na ikawa hivyo Zaid ya Miaka mkuu then sehemu zingine wakaendelea na utaratibu mfano niliona tagazo website ya ajira Kuna tagazo la kuahirishwa usaili muce kama sijakosea Sasa kama nitakua nimekaa tu bila kuwepo kazini mkuu siwezi kuacha kwenda interview inayotaka watu 26 hata huko nyuma nilisema siku wakiita kwenye interview Bado nipo kitaaa nitaenda ila kama nipo kazini siwezi kwenda kuziba nafasi za watu na Nina kazi mkuu
Noma kikubwa kuomba munguDah wale jamaa waliumizwa sana kipind cha magu
Sawa sawa kiongoziNimepata nn mkuu barua then hakuna kazi niliyonayo aisee utaratibu ukisitiswa je kama kipindi cha magu wakati anakagua vyeti feki Kuna watu walikua na barua mkononi Hadi Leo wapo kitaaa so taasis inaweza sema now mpango wa ajira haupo mpka hapo badae na ikawa hivyo Zaid ya Miaka mkuu then sehemu zingine wakaendelea na utaratibu mfano niliona tagazo website ya ajira Kuna tagazo la kuahirishwa usaili muce kama sijakosea Sasa kama nitakua nimekaa tu bila kuwepo kazini mkuu siwezi kuacha kwenda interview inayotaka watu 26 hata huko nyuma nilisema siku wakiita kwenye interview Bado nipo kitaaa nitaenda ila kama nipo kazini siwezi kwenda kuziba nafasi za watu na Nina kazi mkuu
Mkuu una hasira Sana za utafutaji ndo maana umetoboa mapemaNimepata nn mkuu barua then hakuna kazi niliyonayo aisee utaratibu ukisitiswa je kama kipindi cha magu wakati anakagua vyeti feki Kuna watu walikua na barua mkononi Hadi Leo wapo kitaaa so taasis inaweza sema now mpango wa ajira haupo mpka hapo badae na ikawa hivyo Zaid ya Miaka mkuu then sehemu zingine wakaendelea na utaratibu mfano niliona tagazo website ya ajira Kuna tagazo la kuahirishwa usaili muce kama sijakosea Sasa kama nitakua nimekaa tu bila kuwepo kazini mkuu siwezi kuacha kwenda interview inayotaka watu 26 hata huko nyuma nilisema siku wakiita kwenye interview Bado nipo kitaaa nitaenda ila kama nipo kazini siwezi kwenda kuziba nafasi za watu na Nina kazi mkuu
Sasa Kiongozi mbona majobless wenzangu tuliofanya oral status inasoma shortlisted ina maana tumeula au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shortlisted =placement
Selected for=kukandwa
Wote au??nafasi zilikua ngapi na mlifanya wangapiSasa Kiongozi mbona majobless wenzangu tuliofanya oral status inasoma shortlisted ina maana tumeula au
Hapo hizo status za shortlisted mbili zimeniletea uvivu wa kujiandaa za received Mana Kiongozi unatulisha matangopori [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shortlisted =placement
Selected for=kukandwa
ππππhapa tunaongea tu mzee tulishakubaliana status hazina effect hizo me mwenyewe sijui mkuu we kula msuli tu kama kawaida sasa unataka nikubali kuwa nimekandwa?hata mimi ni shortlisted hivyo hivyo hapa tunajifariji tu maisha yasongeHapo hizo status za shortlisted mbili zimeniletea uvivu wa kujiandaa za received Mana Kiongozi unatulisha matangopori [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2407806
Ikiandika selected For: maandish ya kijani means umepata usubirie tu pdf ya kuitwa kaziniSasa Kiongozi mbona majobless wenzangu tuliofanya oral status inasoma shortlisted ina maana tumeula au
Kwenya app yao au kwenye website kule?Ikiandika selected For: maandish ya kijani means umepata usubirie tu pdf ya kuitwa kazini
Kwenye app yao..mule kwenye account yakoKwenya app yao au kwenye website kule?
Okay basi sawa nimekuelewa ngoja niandae moka zakufatia baruaπππKwenye app yao..mule kwenye account yako