Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

We si ulipata mchongo EACOP bomba la mafuta ?
Au bado wafaransa wanawapiga danadana ?
 
mie nilikuaga najisemea nikimaliza chuo tu najenga fasta nanunua na kateza cha kuzugia kumbe
Acha tu mkuu nimesugua benchi hadi nimemkumbuka jamaa yangu tulimaliza fm4 2013 akapata division 4 ya kwanza selection zilipotoka yeye akapangwa kwenda upolisi jamaa now anazaidi ya miaka 10 kazini. Na kipindi hiko tulikuwa tunaona kama kapotea
 
Jobless kuna pdf naskia utumishi wameposti kwenye page yao instagram na hiyo pdf nimeipata. Je hizo taarifa ni za kweli.? Maana kwenye web sioni kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…