El marabiosh
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,382
- 4,978
🤣🤣🤣 vipi ndugu yangu hadim sanaMazafakaz utumishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 vipi ndugu yangu hadim sanaMazafakaz utumishi
Office za trc tuanaenda utumishi(psrs)😁Mko wap jobless toeni location jaman😂,tupunguze na stess za Psrs
TRC kwahiyo mumegomesha kupuguza data base ya psrs kwa wakati na fasta!, ngoja twendelee kupanda hizo electrical locomotive vehicle, faida ipatikane ili ipatikane pesa ya kulipa pesa ya kujikimu ya watumishi wapya😁, jorkes, jobles marufuku kwenda morogoro kwa gari twende na hizo locomotive ili waje huku utumishi kupunguza kazi data maana itaakuwa zoa zoa ya wengi tu😁😁😁Office za trc tuanaenda utumishi(psrs)😁
mmemmiss sioIvi T-pain alipata kazi?, huenda vile ving’ora vilikuwa vya kuwaaga, 😁
Sema alikuwa anachangamsha jikwaa!, yaani hata juma pili na siku za sikukuu utasikia kuna pdf la placement huko😁😳
mmemmiss sio
Umesomea nini..Wadau niwe mkweli mimi najihisi nina mikosi kwenye suala la ajira(maisha). Oral moja toka 2022 hakuna aliyeitwa kazini mpaka leo, nyingine toka mwaka jana wameita wawili tu. Kabla ya kufika hizi oral watu wa kada yangu walikua wanaitwa sana kazini.
Aichange ni hivyo hivyo ww kama ulipata above 50 utapata kazi..Naomba kuuliza, ukifanya oral status huwa inachange au inabaki vile vile "Selected for oral interview"??
Utumishi hawa jamaa 🤣🤣🤣🤣🤣 Placement za fani yetu ni hadimu kama lulu🤣🤣🤣 vipi ndugu yangu hadim sana
Tuendelee kuwa wajasiriamali tu .............🤣🤣🤣 vipi ndugu yangu hadim sana
wanazingua matako yao 🤣 🤣Utumishi hawa jamaa 🤣🤣🤣🤣🤣 Placement za fani yetu ni hadimu kama lulu
😆😆wanazingua matako yao 🤣 🤣
mkuu umepotea sana naona unaifyonza asali vilivyo 🤣 🤣
Amiiiiiiiiinkesho unalamba asali pinacoladee
Daaah na hekaheka za kudaiwa leseni ngachoka mimiTuendelee kuwa wajasiriamali tu .............
Wow jmniii,mbona raha ivi😇🤗🤗 I can't wait jmniPdf zijaza mrembo unaingia kwenye taasis.
Unaandamana au😀,utakula mikwaju maana ao suma jkt wanavyojikuta pale Psrs😃Office za trc tuanaenda utumishi(psrs)😁
AmenWakuu tuamke tusali.
Bado Mungu anatupenda sana.
hivyo hivyo mdogo mdogo tu, hii asali haiishi nawe pia utaikuta Vumilia ujobless unamwishomkuu umepotea sana naona unaifyonza asali vilivyo 🤣 🤣