Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mama(Rais) vijana wako tunayopita ni Mungu tu anajua .....Bora uwape kibali Utumishi Taasisi zote zilizojitoa zirudi....Tutakuwa na faraja ndani ya nchi yetu vijana wako kuliko yanayoendelee sasa
 
Mama(Rais) vijana wako tunayopita ni Mungu tu anajua .....Bora uwape kibali Utumishi Taasisi zote zilizojitoa zirudi....Tutakuwa na faraja ndani ya nchi yetu vijana wako kuliko yanayoendelee sasa
Daaah Mama ypo busy sana sidhani kama hii sector anaangaika nayo,ni kama haina tija sana kwakešŸ™ƒ
 
Jobless won't votešŸ˜‚..kwani mmesema nn hamta piga kura mbna kama ili sual la ajira limekua ignored sana na hawajari wala nini,maana ukifanya critical analysis unaona kabisa hii issue ya ajira Tz haipew kipaumbele hasa kipind iki cha kuelekea uchaguzi hakuna ata ile danganya toto ya watu kupata ajira,kingine taasis kuajiri wenyew mara uku mh.Simbachawene akitoa stop order kwamba taasis zte zirud PSRS kwa ajili ya zoezi zima la ajira,lakin wapii ndo kwanza mambo yanazid kua magumu
 
Tumsifu Yesu Kristo. Wakuu kwa uwezo wa Kristo Yesu nashukuru nimeaga ujobless rasmi na sipo halmashauri. Nilifanya interview mwezi wa nne 2024, hadi sasa nimefanya interview jumla 6. Ila ya sita ndio nilifaulu written, nikafaulu practical na kufika oral. Cha muhimu tusali sana na tusikate tamaa. Ilifika wakati nilifunga sana ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
Hongera Sana mkuu ukawe mtumishi mwema na mwadilifu kila la kheri katika majukumu yako mapya
 
Dah watu wa sheria neema hiyo yaani toka 2020 mnapata nafasi nyinginyingi!, ivi civil artisan na technician ndo wameisha data base, afu wale wa mwanzo waliotakiwa TRC Hawajatimia!, walipangiwa sio idadi kamili au ndo wamefeli oral wengine ndo maana tunaona re-advertising?.
 
Back
Top Bottom