Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hivi hawa walioajiriwa juzi Tra mbona hatujaona tangazo la kazi jamani, au ndio wamechukua waliokua kwenye database?
 

Attachments

  • Screenshot_20240621-155808.jpg
    Screenshot_20240621-155808.jpg
    262.9 KB · Views: 10
Hivi hawa walioajiriwa juzi Tra mbona hatujaona tangazo la kazi jamani, au ndio wamechukua waliokua kwenye database?
Database ya Utumishi mwaka jana 2023 walikataa wakasema wanaletewa watu waajabu mpaka wakafanikiwa kutengeneza zengwe Ili aone Mama(Rais) Utumishi hawafai na wakafanikiwa 100%...
Juzi wao wamerudia Mambo yaleyale tena mara2 kimyakimya hata uwazi wa majina hamna...
Nchi ngumu hii....
Cha zaidi Kuangalia tu ila hawajui wanatengeneza Ukabila
 
Database ya Utumishi mwaka jana 2023 walikataa wakasema wanaletewa watu waajabu mpaka wakafanikiwa kutengeneza zengwe Ili aone Mama(Rais) Utumishi hawafai na wakafanikiwa 100%...
Juzi wao wamerudia Mambo yaleyale tena mara2 kimyakimya hata uwazi wa majina hamna...
Nchi ngumu hii....
Cha zaidi Kuangalia tu ila hawajui wanatengeneza Ukabila
Duu
 
Database ya Utumishi mwaka jana 2023 walikataa wakasema wanaletewa watu waajabu mpaka wakafanikiwa kutengeneza zengwe Ili aone Mama(Rais) Utumishi hawafai na wakafanikiwa 100%...
Juzi wao wamerudia Mambo yaleyale tena mara2 kimyakimya hata uwazi wa majina hamna...
Nchi ngumu hii....
Cha zaidi Kuangalia tu ila hawajui wanatengeneza Ukabila
Wanazingua sana hao TRA na tasisi zingine kama hiii inayo fanya ujinga katika taifa la watu wanaojitambua,

Utumishi wataletaje watu wa ajabu angali watu wanapita katika mchujo!, utumishi wako wazi kulinganisha na hizi tasisi zinazo jiona zinaendesha usahili wa vichakani, wao TRA Hawajitambui na mkurugezi wao, Sasa Kati ya utumishi(psrs) na TRA wapi ambao hawajitambui katika kuleta usawa katika Hili taifa!. Kazi kuingizana kwa undugu ukabiri, uzuri wa wadada pia na gender imbalance, na udini tu, psrs kujeni huku mchukue mamlaka yenu ya kuajiri, hii TZ kila mkurugenzi anataka aonekane yeye mjuaji na mtashi wa maarifa kwa rasi wa nnchi!😳, bila kujua mipaka ya utumishi(uwajibikaji) wake katika nnchi na mitamaa ya kijinga tu, mbona sisi hatuna maisha ila tuomba haki na kutenda usawa kwa jamii zetu na tuaamika sana na watu wanao tunzunguka hadi wazazi wetu wanataami kutengeneza ujamii kupitia kuoa na kuolewa kwa vijana wao sisi kwa sisi kwa maana ya jinsi tunavyo jituma na kuelimisha jamii na kuwasaidia katika maisha ya kawaida bila kujali ujira wetu wala matabaka😁
 
Database ya Utumishi mwaka jana 2023 walikataa wakasema wanaletewa watu waajabu mpaka wakafanikiwa kutengeneza zengwe Ili aone Mama(Rais) Utumishi hawafai na wakafanikiwa 100%...
Juzi wao wamerudia Mambo yaleyale tena mara2 kimyakimya hata uwazi wa majina hamna...
Nchi ngumu hii....
Cha zaidi Kuangalia tu ila hawajui wanatengeneza Ukabila
TRA Wahuni sana.
 
Back
Top Bottom