Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Maana ake unabid upambane kwa namna nyingine inayowezekana kuongezea vyanzo vya pesa ..maana mshahara kama mshahara hutoboi nao aisee..

Swali; Japo nasikia Kuna halmashauri nyingine zipo vzr tu ..? Au ni maneno ?
Halmashauri anayefaidi ni mkuu wa kitengo.

Mfano safari na semina nyingi anaenda yeye au senior mpaka itokee wewe unaenda labda safari haina hela au wote wana emergency.

Halmashauri za jiji zina mapato makubwa so kuna mianya mingi ya upigaji na viposho posho japo havilipwi kwa wakati ila halmashauri za vijiji.

Lazima ukubali kuwa mkulima au mfugaji na utumie muda mwingi mtaanu
 
Duh sio poa aiseee ..Mimi niliyesoma kilimo inabidi nipate mahala ambapo Pana fursa nzuri ya kufanya uwekezaji wa kilimo Ili kujikwamua kwa namna nyingine . Kama unapata mda wa kufanya mishe zako ni kheri kujikita kwenye shughuli zingine binafsi huku ukitekeleza majukumu ya Serikali..
 
Nan aliwai kufanya Oral interview ya Tanzania Commercial Bank Position ya Relationship Officer majibu huwa wanatoa kwa mda gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…