Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

upuuzi wanaofanya utumishi wanajua wenyewe tue wapole tu...
 
labda pendekezo la muajiri kuwa anataka kuona mchakato na awepo katika kuchagua.
 
hamna wanaangalia mambo mengi tu.ila kama unalo kubwa sana weka passport umevaa lemba.. 🤣 🤣
Hawa zaidi ni per diem tu wanachojadili na kuangalia nn...
Taasisi wanapitisha watoto wao hata paper hashiki leo hii PSRS wamepewa dhamani ya kusimamia haki Michakato yote wanakujadili nn!!!
Mungu atutetee tuwe na mioyo ya uvumilivu maana tumezaliwa Tanzania kwa makusudio yake......
 
labda pendekezo la muajiri kuwa anataka kuona mchakato na awepo katika kuchagua.
Muajiri Mkuu katoa kibali cha kuajiri ww nani ubishe unataka kuona wakati kunachombo kinasimamia swala hilo na kimepitishwa na muhimili mkuu....
Hawa Watu kunavitu wamepishana(siri) kati ya Taasisi +Psrs ndo maana changamoto hizo zinatokea ucheleweshwaji(placement)....
Ila yote wanatutesa jobless kwa kuwa watoto wao hawapo
 
sasa hivi si unaona hata tangazo la halmashauri hamna.yatakua yameshakimbilia sabasaba
 
Daaah mkuu I'm speechlessssssssss
 
mi ninavyojua kwenye panel ya interview pale lazima na mtu wa taasisi anakuwepo
Nakumbuka panel yetu alikuwep mmoja mwnye nafasi kama tuliyoomba kutoka Tasaf..tena wakat tumeitwa wte pale wanajintroduce na kutupa moyo yeye maneno yake nakumbuka yalikua mawili yamestick mpaka sasa kichwani mwangu alisema la Kwanza tumtangulize Mungu na la pili alisema Bahati akasistiza kama ni bahati yako utaipata tu apa mpaka kichwa kilipata moto na kibarid kile🙃
 
si unaona sasa unaweza ukajibu vizuri kuliko wote kwenye oral ukatokea upuuzi tu watu wakamplace mtu wanaomjua wao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…