Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

BABA KAnitUMA OFISINI KWAKO WEWE HR WA TRA........................DAHHHHHHHHHHHHHHHHHHHH ASEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE NGOJA TUJIPANGE NA MTAA TUUU MAANA HAMNA NAMNA
 
Nayo ajira si moja ya agenda yao kuelekea huko kwenye chaguzi....
Ccm hawana muda huo kwa sasa.

Kama wanataka Dr bigwa akajitolee ndo unategemea iwe agenda.

Leo hii kuna upungufu wa asilimia 50.1 % ya watumishi wa afya nchini.
 
Kwema wakuu,hivi kwenye status ikisoma selected for oral na hapo umeshapiga oral nin maana yake?na pdf imeshatoka kama miez miwili hv,hapo inakuwaje wakuu
 
Back
Top Bottom