Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
😂😂😂wangesem unamfichua unapewa kazi au pesa apo sawa lkn kujifany mzalendo wakat wenyew Co wazalend hapan kwakwel😂 Watoe pesa ili tuanze kuwachoma washikaji zetu kimya kimya
Hawa wanadhani kazi na usnitch n kazi nyepesi 😂😂😂😂wangesem unamfichua unapewa kazi au pesa apo sawa lkn kujifany mzalendo wakat wenyew Co wazalend hapan kwakwel
Nimeinusa piaLeo kuna harufu ya pdf
mi nahisi mkeka ni baada ya maonyesho kuanzia 10 na kuendeleaKaka mkeka unaendaje?
Yha nadhani haina shida as long as kuna sainiSawa, ila pia ku-type n poa pia.
wanaelekeza watu mfumo wa kidigitali.Hivi hawa jamaa zako kwenye maonesho yabiashara wanaonesha biashara gani wanayofanya!
Tuliaaa😂😂😂
Mmh, mimi nahisi hawa wanalipwa kwa siri na kampuni za internet, sio kwa kutumalizia mabando huku😂Kuelekezwa jinsi ya kujiunga ajira portal na changamoto nyingine km unazo watazitatua..mm nitaend kuuliza kuhusu placement na nitawarecord😂
Inasaidia nini na placement hawatoi, shenzi type hawawanaelekeza watu mfumo wa kidigitali.
🤣🤣🤣yaani sekunde tu halmashauri wameshachafua ubao. 🤣 🤣 anyway mpaka sasa utumishi hawana interview kwa sasa coz zinafanyika halmashauri
Una akili kama zangu wiki hii tufute mkeka Tuanzie Tar 10 /7 kidogo naaminimi nahisi mkeka ni baada ya maonyesho kuanzia 10 na kuendelea
Yamekuwa hayo tena.
Kuanzia 15 hukoMmmh kwahyo wk ijayo ndo tutegemee mkeka?
Kwahiyo nani wanampa hiyo kazi ya kufichua?! Wachawi wengine hawa😠
watangaze dau tuanze kuwachoma masela tupate hela ya bando 🤣 🤣
Wanataka mpaka pumzi unayotumia wahakikishe inalipa deni...Yamekuwa hayo tena.
Anzia tarehe 15 nakuendelea hukoUna akili kama zangu wiki hii tufute mkeka Tuanzie Tar 10 /7 kidogo naamini
Ivi watendaj hakuna data base yao?yaani sekunde tu halmashauri wameshachafua ubao. 🤣 🤣 anyway mpaka sasa utumishi hawana interview kwa sasa coz zinafanyika halmashauri
Ngoma imeshawambaaaDah kwa hali hii nitanunua subaru kweli..