Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Daaah aisee tabu sio powa. Kuna watu nawafahamu walilamba asali mwaka jana mwezi wa kumi na mwingine kalamba asali mwaka huu 2024 mwezi wa 2. Wameripoti kazini ila hadi leo wapo kitaa wameambiwa wasubirie watapigiwa simu.
Walilamba sehemu ipi
 
Asali

Asali ipo ya kawaida sana ila hadi uje uanze kazi utakuwa umeshakaa sana kitaa. Ulizeni wenzenu walioitwa trc tangu mwaka jana mwezi 10. Hadi leo wapo home wanasubiria kupigiwa simu
Mkuu nawe si ulilamba uko au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…