No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Kweny app naona kuna shidaDaa imebid nikaingie portal nikaangalie selected yng isije ikawa imechange,hivi kuna shida kwenye kulogin?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweny app naona kuna shidaDaa imebid nikaingie portal nikaangalie selected yng isije ikawa imechange,hivi kuna shida kwenye kulogin?
Duuuhh, mbona too much hivyo..trc ila bado hawajapangiwa vituo vya kwenda kufanyia kazi.
Anha apo sawa,daah waende taratibu mfumo usjie tingisha mambo yangu😂Kweny app naona kuna shida
Ghafla Selected for NullDaa imebid nikaingie portal nikaangalie selected yng isije ikawa imechange,hivi kuna shida kwenye kulogin?
Yaan hujapatiwa appointment letter, Wala hujaingizwa kwenye payroll ulipwe mshahara kwa kazi gani labda.Duuuhh, mbona too much hivyo..
Ila si washaanza kupokea salary?
Kesho uwe unatukumbusha kumbusha...linaweza tokakuna pdf la TCRA uko.hongereni watu wa IT database inafanya kazi aisee
😂 Salary na hawajaripoti kaziniDuuuhh, mbona too much hivyo..
Ila si washaanza kupokea salary?
Hizo ni ajira za watumishi kwenda kufanya kazi wakiwa chini ya Tamisemi? Au wapo chini ya wizara ya Afya?Tamisemi wametoa mkeka wa kada ya Afya kupitia Utumishi, Wenye vigezo tukaongeze received huko
Hizi za tamisemi kaka hazihusiana na wizara ya afyaHizo ni ajira za watumishi kwenda kufanya kazi wakiwa chini ya Tamisemi? Au wapo chini ya wizara ya Afya?
Maana kuna tamisemi na wizara ya Afya hizi zipo wapi?
Mkuu lete habariJobless
Pinacoladee jiandae, 😁😁Hongeraaaaaaa Butiiii jamani,kila la kheri
Wakati wako Sasa unefikaPinacoladee jiandae, 😁😁
Mambo on fire!
Dah hawa si wangepitia psrs tu...kujisajir tena
Mwamba T-pain ktk ubora wako master,huboi wala hupoi 😀😀kuna pdf la TCRA uko.hongereni watu wa IT database inafanya kazi aisee
Kuna baadhi ya watu kwenye baadhi ya taasisi walianza kupata Salary kabla ya kuitwa rasmi kazini.Yaan hujapatiwa appointment letter, Wala hujaingizwa kwenye payroll ulipwe mshahara kwa kazi gani labda.
Ukipeleka barua kutoka PSRS unaenda pamoja na vyeti vyako vyote. Hapo ndio kuripoti na utaombwa details zingine muhimu ili Mwajiri akamilishe taratibu za Ajira.[emoji23] Salary na hawajaripoti kazini
Mfumo wao uko simple Sana na unaeleweka haraka hakuna complication nyingi ni fasta tuDah hawa si wangepitia psrs tu...kujisajir tena
kama kawaidaMwamba T-pain ktk ubora wako master,huboi wala hupoi 😀😀