Tatizo ni CCM mkuu mpaka waweke watu hao kama unabisha muulize lucas mwashambwaWanajamvi,
Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
Nna received moja ya TBC japokuwa sina imani nayo ila kama nikiitwa interview itabidi niende na mbinu nyingine.Pamoto sana kule😃,na chanjo ukachoma lakini wapi,da Mungu tusaidie vita ni vikali sanaaa
heshima mkuu,,,,,,,kaa na manyumba yakotako lako
nafanya kila aina ya kazi hata kubeba ma trey / kreti ya nyanya vitunguu ,,,, maana GPA hazina umuhimu mtaaani aseeeeeeeeumeangaika na utumishi umeamua kujiajiri sasa.
Angalia kuna sehemu imeandikwa 'working experience'vya work experience unaweka wapi
Mmmmh...wanawake na walemavu watapewa kipaumbele lkn kwa vigezo maalum...Watu wenye ulemavu wanapewa priority sana ata kama mtu umepata 90 but mwenye ulemavu kapat 60 so yle mwnye ulemavu ataanza kupangiwa kituo cha kazi.
Utakatwa asubuh tuNna received moja ya TBC japokuwa sina imani nayo ila kama nikiitwa interview itabidi niende na mbinu nyingine.
Nitaenda na kadi ya ccm naining'iniza kwenye mfuko wa shati ili waione 😎
Anha kumbe kuna vigezo maalumMmmmh...wanawake na walemavu watapewa kipaumbele lkn kwa vigezo maalum...
Bc ngoja nitafute mgangaUtakatwa asubuh tu
Kwanza mpk ufike oral ndio vigezo vinaanza...kwahyo juhudi ndio cha kwanzaAnha kumbe kuna vigezo maalum
Duuh balaa...watendaji washaanza kusomewa hukumu 🤣 🤣
Kwamba kuna ugunduzi umegundua!!! Watu mna mbwembwe sana [emoji1787]Fuatilia posts za watu wanaotoa shuhuda humu alafu tuliza akili!!
unaweza kushanga utumishi wananyanyua mashabiki dakika za majeruhi..Leo tumechinjwa....zimebaki wiki mbili mwezi ukate...
Dah sasa niende na mbinu gn mana interview zinanibakaUtakatwa asubuh tu
Confidence tuDah sasa niende na mbinu gn mana interview zinanibaka
Si mlisem kuanzia tar 10 pdf za uhakik zitaanza kushushwa😀unaweza kushanga utumishi wananyanyua mashabiki dakika za majeruhi..
hizo tarehe uhakika hivi unajua utumishi wapo 77 mpaka tar 13 baada ya hapo tutawaandikia barua wastopishe pdfSi mlisem kuanzia tar 10 pdf za uhakik zitaanza kushushwa😀