captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Ngoma drooWatulie wakubali changes..wenyewe wanamrefer yle mzee Charles Darwin sasa tunataka tuone wana uwezo wa kuadapt aya mazingira mapya si wafanye tu interview wakawaonyeshe PSRS jinsi walivyo competent wawakande PSRS washazoeaa kutuonea kada nyingine sasa ni mwendo wa 90 to 100 🤣
Kwakuwa ni LGA...90 inawezekana...ila taasis ndio huwa mtitiWatulie wakubali changes..wenyewe wanamrefer yle mzee Charles Darwin sasa tunataka tuone wana uwezo wa kuadapt aya mazingira mapya si wafanye tu interview wakawaonyeshe PSRS jinsi walivyo competent wawakande PSRS washazoeaa kutuonea kada nyingine sasa ni mwendo wa 90 to 100 🤣
Ajira za afya kuna asilimia 50 kusiwe na interviewpicha linaanza interview inaanza mwaka baada ya kuapply alafu matokeo miaka miwili baada ya interview [emoji1787] [emoji1787]
Kiufupi hiki chombo kinachosimamia izi ajira inatakiwa ifanye mabadiliko makubwa mambo yao hayaeleweki,kuna namna mambo yanaendeshwa kimazingaombwe sio bure.picha linaanza interview inaanza mwaka baada ya kuapply alafu matokeo miaka miwili baada ya interview 🤣 🤣
sasa kama wameziweka utumishi si lazima kutakua na interview.au utumishi watachagua tu watu?Ajira za afya kuna asilimia 50 kusiwe na interview
Sasa si wangewapangia vituo vya kazi moja kwa mojaAjira za afya kuna asilimia 50 kusiwe na interview
It's impossiblesasa kama wameziweka utumishi si lazima kutakua na interview.au utumishi watachagua tu watu?
ujinga tu sema hatuna jinsiKiufupi hiki chombo kinachosimamia izi ajira inatakiwa ifanye mabadiliko makubwa mambo yao hayaeleweki,kuna namna mambo yanaendeshwa kimazingaombwe sio bure.
Kumbe nyie ni special case 😀Mwaka jana Wizara ya afya walitangaza ajira zikapitia utumishi kama 289 walitoa majina bila interview sisi special cases wakubwa.
Japo mimi interview siogopi maana nishafanya nyingi
Mzee interview inaweza iwepo au isiwepo ngoja tuone sisi special cases [emoji42][emoji42]sasa kama wameziweka utumishi si lazima kutakua na interview.au utumishi watachagua tu watu?
Kaa kwa kutulia phina hauwezi kuajiri mtu kamaliza 2024 kisa kafaulu interview wakati kuna wa 2019.It's impossible
🤣 🤣 alafu nahisi itakua ya kidigitali si unaona wametoa na mikoa kabisaSasa si wangewapangia vituo vya kazi moja kwa moja
Inaweza ikawepo rejea Kada ya afisa maendeleo waliitaki watu 800+ na usaili walifanyishwaMzee interview inaweza iwepo au isiwepo ngoja tuone sisi special cases [emoji42][emoji42]
Sawa haina shida bora izo ajira walizozisema wawapeKaa kwa kutulia phina hauwezi kuajiri mtu kamaliza 2024 kisa kafaulu interview wakati kuna wa 2019.
Afya na elimu hata kama zimepitia humu ila ni special msubiri mjionee.wenyewe
Kwamba kwakuwa umemaliza 2019, inabid upewe priority...mkuu umewasahau nn hawa jamaaKaa kwa kutulia phina hauwezi kuajiri mtu kamaliza 2024 kisa kafaulu interview wakati kuna wa 2019.
Afya na elimu hata kama zimepitia humu ila ni special msubiri mjionee.wenyewe
Sasa afisa maendeleo ni special group🤣🤣 awa ni wenzetu na ss wa kusotea interviewInaweza ikawepo rejea Kada ya afisa maendeleo waliitaki watu 800+ na usaili walifanyishwa
Mfumo unasahisha mkuu..umesahauila kama watafanya interview kazi wanayo maana watu elfu tisa na sio mchezo
Dentist ndio sio wengi...sjui kwanini nilikimbia science leo namkumbuk sir mmoja alinambia mbn P unaweza 🤣🤣🤣ila sjutii sana ikitokea nmepata ninachokitak ndo kitu nakipendaila kama watafanya interview kazi wanayo maana watu elfu tisa na sio mchezo