Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
kama wakipanga majina tu huwezi jina lako mzeeAfya hatufanyi interview nawaambia
Daaaah It yko online..mm nadhan jukumu lao kubwa ni kutoa matangazo ya ajira baada ya apo wapate posho zao za interview tukifanya maelfu..iyo next step ya placement sasa iko ndo kipengele wasichokijariyaani hawa wajinga mpaka mida hii wanaweka matangazo ya ajira wameshaongeza la bumbuli lakini placement mwisho saa 12
yanazingua kweli kumbe yako machoDaaaah It yko online..mm nadhan jukumu lao kubwa ni kutoa matangazo ya ajira baada ya apo wapate posho zao za interview tukifanya maelfu..iyo next step ya placement sasa iko ndo kipengele wasichokijari
T pain unagongwa moto na wachawikuna pdf
Hakuna kitu kama icho kama umeapply kwa kuandika address ya utumishi basi jiandae na interview kaka mkubwa usijipe moyoMzee interview inaweza iwepo au isiwepo ngoja tuone sisi special cases [emoji42][emoji42]
tulia we vuz la mkundT pain unagongwa moto na wachawi
Mwenye idea apo niguse sehem gani
Nikaambiwa na kiongozi wizy niweke kwa kingereza ili niweze kusaidiwa kwa urahisi. Nikafanya ivyoSTATISTICIAN II.
DUTIES AND RESPONSIBILITIES.
1/. To design and develop National statistical system.
2/. To construct statistical procedures general and Sampling statistical system.
3/.To collect, analyse and dissemination statistical information at upper levels.
4/.To do other works assigned by supervisors.
Nikachukua ushauri huu nikaannza kuutekeleza vizuriSoma research yote uielewe siunajua kutumia SPSS??
Nikachukua na huu ushauri pia nikaufanyia kazi.Nadhani kama watatoa prac mtakutana na SPSS au Excel lakini kwenye written zisome hizo duty uzielewe moja moja uisome kiundani
Bwana Izizimba nae akanipa ushauri huu. Niliufanyia kazi vizuri sanaaaaa.Jiandae na ways of disseminating statistical informations or research findings
Baada ya jamaa kupata placement nilirudia text zake zote za nyuma nikakutana na hii nikaibeba na kujipa moyo nikitoboa written napita na hii idea. Bwana Mwifwa ubarikiwe sanaaaaaNiliulizwa maswali 7 aisee ila niliyajibu ndani ya dk 10 maana nilikuwa napiga short sana hadi point zinapitiliza/zidi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nikachukua na huu pia kwa Mkuu insider man nikaufanyia kazi ipasavyo1. Duties za statistician.
2. Methods of data collection
3. Steps of conducting research
4. When to use Qualitative and Quantitative research
5. Types of data
6. How do you stay current with the latest developments in statistics and data analysis?
7. What is your experience with time series analysis and how have you applied it in your work?
8. What is your experience with data visualization and how do you choose the appropriate chart or graph for a given dataset?
9. What is the central limit theorem and how does it apply to statistical analysis?
10. Challenges
11. Tell us a little bit abt yourself
12. What are the disadvantages and advantages of statistics
13. Explain the scopes of statistics
Experince ya kufanya interview as statistician hayo ni baadhi ya maswali nlokumbana nayo
But qn no 1,2,3,4,9,12 nilikutana nayo utumishi
Nilichukuwa huu ushauri kwa Mr Spider. Ubarikiwe sanaaaa uko uliko kiongoziNakushauri pitia kiundani/study in deep kuhusu zile job descriptions( usiishie kuzisoma tuu kama walivyoorodhesha bali wewe nenda one or two extra miles. Maana kuna swali moja au mawili yatatokana na job descriptions ya nafasi uliyoomba.
Kijana wizy hakuacha kunipa nasaha mbali mbali ambazo zilinibeba kwa kweli. Ubarikiwe sanaaaa kiongoziFresh soma na yadarasani sasa kama ulisom hesabu tafuta notes za statistics usome zile ndani mule Kuna na mambo ya uchumi yasome vizuri wanaweza kuyatoa