Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Leo nahis harufu kwa mbaaali😎Wakuu tumeamkaje.
Leo vip wakuu
Wizara ya mambo ya ndani huyo jiangalie atakutumia nyoka😀😀 ukamatwe si mwenzako tenaUmelamba wap...taasis..wizara
🤣🤣🤣 kweli hawa wakipata hasira kidogo tu, anakusweka ndaniWizara ya mambo ya ndani huyo jiangalie atakutumia nyoka😀😀 ukamatwe si mwenzako tena
Kwq nn uni jibu wewe mkuu, kwan nimekuuliza swali lolote? Niliowatag wenyewe wanajua tumetoka wapi mpaka kufanyiana mzaha wewe kama nani uingilie comment yangu ya mzaha kwa watu wengine?Nikikujibu, hutakaa ufanyie mzaha maisha ya watu tena.
Kuna vingine vya kulamba huku nikuongezeeMkuu nmeshalamba asali,unataka unipe nini tena🤣🤣🤣🤣
Hongera sana ukawe mtumishi mwemaUsingizi ulikata kwa muda mrefu sana,busy na website ya PSRS km waliniajir nihesabu visitors..cha ajabu siku limetok pdf ndo sku skuona na nlichelewa kuliona na skua na bundle mpk mtu kaja kunipigia simu 🤣🤣
Usifanye hasira mkuu zamu yako itafikaKwq nn uni jibu wewe mkuu, kwan nimekuuliza swali lolote? Niliowatag wenyewe wanajua tumetoka wapi mpaka kufanyiana maharaja wewe kama nani uingilie comment yangu ya maharaja kwa watu wengine?
Ila deprofessor unaonekana mtaalamu kweli kweli!Nikikujibu, hutakaa ufanyie mzaha maisha ya watu tena.
😂😂😂kabisa! mm nilisoma udsm pale, ila jamaa zangu wenye GPA kubwa walinyakuliwa karibu wote hata kabla ya Graduu! Nikaona wadogo zangu wote nitawasihi wakifika chuo wahakikishe tokeo liko safi hata kama wasipopata ajira ila ni hazina!GPA kubwa ziko private wasijichanganye vyuo vya serikali😀
Nikikujibu, hutakaa ufanyie mzaha maisha ya watu tena.
Kuna watu ni wapuuzi sana mkuu, wanakeraNikikujibu, hutakaa ufanyie mzaha maisha ya watu tena.
Ila wanaboa majamaa mapdf ya watendaji ndo ya kuyadisplay kweli hapo maana wakianza yatakuwa yajajaza ubao. Waonekane wameajiriKuna pdf la watendaji uko, hongereni wote mliolamba asali mkawe watumishi wema
Utaalamu wa nn mkuu wa majibu au?Ila deprofessor unaonekana mtaalamu kweli kweli!
Ni mm au huyo jamaa? Ushawah kuona napost comment yenye viashiria vya hasiraUsifanye hasira mkuu zamu yako itafika
Mengine mwachie Mungu,huna sababu ya kukejeli au kuweka masihara kwenye mafanikio ya wafu kila mtu kaandikiwa namna atakavyofanikiwa
Relax
Na iwe hivyoLikitoka leo jioni nimooo🤨
Hivi huyo IT kwa nini asichukue hizo pdf zote akaziunganisha kwenye pdf moja ,sasa Kila siku harmashauri mpk inakuwa kero ili mradi tu Kila siku waonekane Wanatoa matangazo ya ajira .. sasa mbona kada zingine hawatoi.Ila wanaboa majamaa mapdf ya watendaji ndo ya kuyadisplay kweli hapo maana wakianza yatakuwa yajajaza ubao. Waonekane wameajiri
Hupapendi usipoenda wewe ataenda nani?Ndo hicho kaka nyie electrical
Ila mm halmashauri sipapendi
AminaNa iwe hivyo