Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hakuna anayeogopa .

Ila Interview hamna ila msiumie mwezi wa sita watu wanatakiwa wawe kazini
Mikando ni lazima[emoji2][emoji2][emoji2] utumishi Wana uzoefu watu wanaitwa 7000+ na mikando Ipo pale pale[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wanaogopa interview sijapata kuona...afya mpk leo wanajadili interview ipo au haipo badala ya kuanza kupeana hints za interview
Saili ni lazima
 
Siku nyingi sija comment humu, lakini nina kaujumbe ambako wengi mumekazoea na mnakachukulia poa, na bado sitoacha kukasema tena na tena. “Kila mmoja wetu humu, bila kujali anapitia magumu kiasi gani, siku yake ya kuyavuka ipo na inakuja.”

Mtapata ajira, tena kwa wakati sahihi. Sio wakati ambao kila mmoja wetu anaoutaka ila ni wakati alioukadiria Mungu.

CODE in one and two.
 
Halloo! hii nimeipenda🙌🤗
 
Ilikua ile oral ya customer service nin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…