Asante sana mkuu.Maswali yanayotolewa ni kulingana na Kada uliyosomea hamna tofaut sana kama tulivyokua tunafanya written mwanzo except sasa hv maswali ni ya kuchagua
Sawa mkuu ila majority asa wanaotoka vyuo vya serikali GPA zimeanfukia 2.0 mpaka 3.0 na 3.4 pia😂😂😂Sasa mkuu mm rejea post angu ya juu ya kuomba huo ushauri 😂😂🤣🤣 japo na mimi nina GPA ndogo kwa michepuo ya sciance na sio arts
Nafikiri shida nyingine sio watu kuzikodolea macho Ila wengi wao hawazipendi hizo sijui tutorial, tutorial assistanceSawa mkuu ila majority asa wanaotoka vyuo vya serikali GPA zimeanfukia 2.0 mpaka 3.0 na 3.4 pia😂😂😂
Ndo maana zile nafasi za TUTORIAL ASSISTANTS watu wanazikodolea macho tu hawawei wengi sana😁
Hakuna mkuu ni GPA zinakaba mkuu imagine mtu wa IT Mambo ya sciance ni ngumu sana kupata hiyo GPA mkuuNafikiri shida nyingine sio watu kuzikodolea macho Ila wengi wao hawazipendi hizo sijui tutorial, tutorial assistance
Zina maokoto balaaaaNafikiri shida nyingine sio watu kuzikodolea macho Ila wengi wao hawazipendi hizo sijui tutorial, tutorial assistance
Mchawi GPA kaka 4.0Nafikiri shida nyingine sio watu kuzikodolea macho Ila wengi wao hawazipendi hizo sijui tutorial, tutorial assistance
Kwamba hata kutumia Google huwezi au ?Wakuu tofauti ya replecement na placement
Kwani kwenye pdf hakuona hiyo muleba?Kuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi😭😭 hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji 🤓🤓🤓
Nimeshangaa kasha saini Kaondoka Kafika mbele anatudi analia et mimi siendi hukoKwani kwenye pdf hakuona hiyo muleba?
Huyo binti hajielewi
Watoto wa mawziri .Kuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi[emoji24][emoji24] hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji [emoji851][emoji851][emoji851]
Ukiona hivyo ni mtoto wa mkubwa kashatonywa kuna mkeka unakuja wa Taasisi na maelekezo kashapewa afanye hivyo...Kuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi😭😭 hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji 🤓🤓🤓
Dadeq kanyooshwa vizuuuuri🤗 yaani sisi tunahangaika tupate hiyo check number halafu kuna mtu anadengua, halfu wa hivyo inabidi wasiwe wanafanya interview, maana wanatujazia Database yetu buree, sasa huyu si alikua ameziba nafasi yangu kabisa🤔🤔TOTO JINGA KWELI😡Kuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi😭😭 hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji 🤓🤓🤓
Usiwaze yako ipo tu ni suala la muda tuDadeq kanyooshwa vizuuuuri🤗 yaani sisi tunahangaika tupate hiyo check number halafu kuna mtu anadengua, halfu wa hivyo inabidi wasiwe wanafanya interview, maana wanatujazia Database yetu buree, sasa huyu si alikua ameziba nafasi yangu kabisa🤔🤔TOTO JINGA KWELI😡