captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Dah kuna jobless Wanakiburi 😳😳 muleba pazuri Ivo kitendo chakuona kichwa cha barua umepangiwa muleba haaa nisingesoma maelezo mengine ningeishia hapo hapo, iyo barua ningeimalizia kuisoma muleba Baada ya kufika sasaKuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi😭😭 hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji 🤓🤓🤓
Yani uyo akithubutu kusaini nadhani asuburi interview nyingine ndio bye byeKuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi😭😭 hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji 🤓🤓🤓
Huwezi jua mkuu...pengine hata hiyi interview hakufanyaYani uyo akithubutu kusaini nadhani asuburi interview nyingine ndio bye bye
Mmmh sidhanii, muda wenyewe unazidi kuisha hivi🤔Tusubiri pdf la leo... 😂
Sasa hakufanya interview alafu kapata chance kama iyo anakataa. Wanavomuambia asaini asubiri interview nyingine ni mtego huoHuwezi jua mkuu...pengine hata hiyi interview hakufanya
Kwani kuna watu wanaajiriwa bila interview wakuuSasa hakufanya interview alafu kapata chance kama iyo anakataa. Wanavomuambia asaini asubiri interview nyingine ni mtego huo
Ni assumption tu kama atakuwa hajafanya interview alafu anachagua placementKwani kuna watu wanaajiriwa bila interview wakuu
Mtu umepitia machungu ya kukandwa huwez leta utaniSasa hakufanya interview alafu kapata chance kama iyo anakataa. Wanavomuambia asaini asubiri interview nyingine ni mtego huo
Mmmh hawa mifugo hawaaa🤔Civil.
Electoral leo mmekumbukwa.
Madaktari mifugo wanatembea hao.
Kwani wakati anaenda kuchukua Barua alikuwa hajui kuwa kapangiwa Muleba?Kuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi[emoji24][emoji24] hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji [emoji851][emoji851][emoji851]
Mwaka wao huu na CIVIL madereva wepumzikaMmmh hawa mifugo hawaaa[emoji848]
Ila watu wana vichaa sio bure🤣🤣🤣..sasa alitaka nani aende?na yeye apangiwe wapi?? Na kama nani?Kuna mdada kajakuchukua barua leo akafungua akakuta Kupangiwa muleba akaanza kulia anarudisha barua wambadilishi😭😭 hawezi enda muleba Almashauri wakamjibu rudisha barua sini pale subiri intervew nyingie alafu tutapangia mwingine ambaye anahitaji 🤓🤓🤓
Watoto wa mjomba pina mm kuna jamaa namfaham anagoma kwenda wizarani anataka wampeleke moja ya taasisi kubwa nchini now ndo anafuatiliaIla watu wana vichaa sio bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787]..sasa alitaka nani aende?na yeye apangiwe wapi?? Na kama nani?
Basi tu kujikuta,mm ile asubuh naend kuchukua barua nkakutana na mdada katka kuchat tukaulizana kila mtu alipopangiwa basi tu akaanza mm sjui kwann wamenipangia kule,na mm akaniangalia kama vile sijadeserve kupangiwa iyo sehemu vle,nkamwambia kila mtu ana ridhiki yake na Mungu ndo mpangaji..Ebu tuwe na mioyo ya shukrani jamani.Kwani wakati anaenda kuchukua Barua alikuwa hajui kuwa kapangiwa Muleba?
Daaah ao wana uhakika mkubwa mno,mwenzangu na mm alooo popote ni kambi😂Watoto wa mjomba pina mm kuna jamaa namfaham anagoma kwenda wizarani anataka wampeleke moja ya taasisi kubwa nchini now ndo anafuatilia