Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari ya asubuhi. Wakuu nina GPA ya 2.7 ya public Administration inaweza nisaidia kupata kazi kupitia UTUMISHI au nilime viazi tu huku njombe.
Kama unataka kua Tutorial Assistant basi nina habari mbaya kwako. Ila kama ni kazi zingine fresh tu. Sema na wewe GPA ya 2.7 halafu course yenyewe ni public administration au mlikua mnafundishwa kwa kichina!!!
 
Kama unataka kua Tutorial Assistant basi nina habari mbaya kwako. Ila kama ni kazi zingine fresh tu. Sema na wewe GPA ya 2.7 halafu course yenyewe ni public administration au mlikua mnafundishwa kwa kichina!!!
Mkuuu hiyo yangu kubwa mkuu ni lower second kuna watu wana GPA YA 2.3 udom department ya political sciance and public administration wale ma lecture sio mkuuu. Kama nadangaya kuna watu kama wamesoma udom collage ya college of humanities and social sciences watasema mkuu mtu ana GPA ya 2.0🤣😂😂😂😂
 
Hongereni mliolamba asali mkawe watumishi wenye weledi na wachapa kazi. Karibuni utumishi wa Umma
 
Daaah ao wana uhakika mkubwa mno,mwenzangu na mm alooo popote ni kambi😂
Hapo ni kushukuru kwa kile mtu umepatatu ili uanzie hapo mengine mbele ya safari, sisi kipindi tunamalisa kuna watu walienda kipiga kazi za bank exm bank ila walikuwa ni engineers wengine ni logistics na wengine kazi zingine, walijipa matuani kuwa tuangalia pesa tu carier yetu badae so kokote ni kambi tu cha msingi ujue kuitumia akiri vyema itambue badget yako na management na project zako zingine ziende
 
Wanajukwaa hivi saili za utumishi vituo huwa vinakuwepo mikoa yote au baadhi ya mikoa tu, na je ukipangiwa mkoa fulani na uko mkoa mwingine, unaruhusiwa kufanyia kwenye mkoa uliopo au inakuwaje hapo
 
Mwanangu wewe kaa kwa kutulia asali sio mda zitaanza kulambwa mkuu na wewe kozi yako ni moja kozi ambazo ni marketable otherwise una GPA ya 1.5
Hiyo unayo ww tu...wenzio tulikuwa serious tukaitende haki pesa ya bum
 
Wanajukwaa hivi saili za utumishi vituo huwa vinakuwepo mikoa yote au baadhi ya mikoa tu, na je ukipangiwa mkoa fulani na uko mkoa mwingine, unaruhusiwa kufanyia kwenye mkoa uliopo au inakuwaje hapo
Umeomba za watendaji???
 
Watakwambia mkuu wapi pa kukutana mkuu
Wameshapanga kituo ila sasa ndio mtu yuko mkoa mwingine, ndio nilikuwa nauliza saili za utumishi huwa zinafanyika mikoa yote au baadhi ya mikoa tu, na je mtu anaruhusiwa kufanyia mkoa mwingine tofauti na aliopangiwa au
 
Huyu mnyasa ameshakuja na nasaha zake
 
Wameshapanga kituo ila sasa ndio mtu yuko mkoa mwingine, ndio nilikuwa nauliza saili za utumishi huwa zinafanyika mikoa yote au baadhi ya mikoa tu, na je mtu anaruhusiwa kufanyia mkoa mwingine tofauti na aliopangiwa au
Ngoja waje wajuvi na waliokula asali mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…