Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hongereni wote mliopata kazi Leo, mkawe watumishi wema na waadilifu uko muendako, leteni shuhuda wakuu mipdf ya saiv imenona Nona Sana dah hadi Raha yaan
 
BSced (Biology and geography) GPA 3.6, naomba kujua kazi zingine nazoweza omba utumishi nje ya ualimu na tutorial assistant?
 
Shukrani ni muhimu, hii ni starting point ya kuelekea palipo pazuri zaidi endapo mtu akiamua kupambana
 
Hongera sana God is good! This is what we call power giving thanks to every steps
 
Unasindikizwa na msimamizi na kukuambia fuata road usepe bila kukaribiana au kuonana na wale ambao bado hawajaingia kukandwa
Na lazima ajue kuwa anapo wambie wenzie maswali ndipo anapo punguza nafasi yake ya kupata ushindi! Lazima watu wajue kwenye oral si swala la ushindani wa marks nyingi….ndio maana kuna waliopangiwa leo kazi lakini interview walifanya mwaka jana! Kwa vyovyote vile kuwambia waenzio maswali unapotoka kwenye oral ni kujilipua au kujiweka kwenye risk!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…