Mtaani kazi ya kulipwa ht 300k kwa graduate km huna connection ni kimbembe kupata ........kujitolea tu kupata ni shughuli ko ht hiyo TGS D kwa mtu ambae huna channel za kueleweka kwa kuanzia sio mbaya tuzidi kuongeza received wakuuApo ni kumuomba mungu upangiwe sehemu nzuri japo hakuna sehemu mbaya kama unaanza kupambana ni suala la muda tu. Kikubwa ni kupambana. Nakumbuka tulifanya interview MDAs and LGAs mwaka jana lakin kuna watu walipangiwq MDAs na wengi walipangiwa LGAs kikubwa upate check number tu
mwezi si ushaisha pinacoladee utukumbuke basi hata ela ya bando wenzio tunaemea mipira..Bado bhn mshahara
Mkuu badili jina unaweza kukuta hii I'd Haina bahati ya kulamba asali(jokes) binafsi niliona kabisa jina langu la mwanzo "Junior Counsel" ni unlucky Ile kubadili tu asali hiyo 😀😀mwezi si ushaisha pinacoladee utukumbuke basi hata ela ya bando wenzio tunaemea mipira..
daaahh hilo nalo neno aisee 🤣 🤣 🤣Mkuu badili jina unaweza kukuta hii I'd Haina bahati ya kulamba asali(jokes) binafsi niliona kabisa jina langu la mwanzo "Junior Counsel" ni unlucky Ile kubadili tu asali hiyo 😀😀
At some point you will realize that not everyone against you is your enemy and not everyone supports you is your friendMzee sijui umetokea wapi.
Kama wakina @mwifa wangekuwa na Kutiana Moyo kwa kishamba unavyotaka wewe tusingefika.
Kwenye kusoma Hapo na kufanya usaili kuna Neno la Faraja kutiana moyo nadhani wewe ni miongoni mwa watu niliowaongelea juu
Kwenye kuhama kuna wakuu wa idara na Maafisa utumishi wanajiona Miungu watu maofisini huku.Acha kabisa, yani kupata kazi ni kazi na kuhama ni kazi zaidi.
Bendera chuma mlingoti chuma
Nafasi itakuwepo maana imepata mtu na anashughulikia uhamishoWadau mwenye uelewa wa hii issue tafadhali.
Mfano mtumishi umepata placement mwezi wa nne ulipoenda kuripoti kwa mwajiri mpya wakakwambia uombe mwenyewe kibali cha uhamisho kwa Katibu mkuu utumishi kupitia mwajiri wako wa awali. Ukaandika barua ya kuomba kibali cha kuhama kutoka mwajiri wako wa sasa kwenda mwajiri mpya ulipopata Placement. Hadi kufikia leo mwezi wa nane kibali hakijatoka na mwaka wa fedha umeisha June 30. Kibali kikitoka ni mwaka wa fedha mpya huu ulioanza July. Je ile nafasi bado itakuwepo kule au ndio figisu zitaanza.
Karibuni kwa michango yenu wenye uzoefu.
Ukisikia kazini kuna kazi ndo hii sasa😂😂😂Acha kabisa, yani kupata kazi ni kazi na kuhama ni kazi zaidi.
Bendera chuma mlingoti chuma
Ahsante mkuu.Me nilipata placement kwenye taasisi A mwez wa 12 mwaka jana nikiwa mtumishi wa umma tayari, Mwajiri mpya akanipa maelekezo kama uliyopewa wewe...Nimekuja kupata barua ya KM-Utumishi ya uhamisho July 2024 now nipo kwa mwajiri mpya. So cha kufanya push barua yako ya uhamisho iwahi kutoka utumishi usijali kuhusu nafasi.
Kwahiyo mwaka wa fedha hauna athari yeyote mkuu?Nafasi itakuwepo maana imepata mtu na anashughulikia uhamisho
ulipata kumbe?Bado bhn mshahara
utapigwa za kichwa ushangae.Ahsante mkuu.
Maana hii issue ya mwaka wa fedha inanitisha sana nisije nikaenda pale wakaniambia mwaka wako wa fedha umeisha subiri mwaka mwingine tukutengee bajeti. NAHISI NITAZIMIA
Wakuu naomba kujua anuani ya kutuma maombi hizo nafas za kaz za mdas na lgas kwa yeyote anaejua
Nimesoma tayari mkuu lilikuwa bado halijaprintiwaSoma tangazo please. Penda kusoma tangazo kote kabla ya kutuma maombi
Umelisoma vp bila kuprintiwa? Au Umelisoma huku tangazo likiwa linaandikwa hapo kwa hapo?Nimesoma tayari mkuu lilikuwa bado halijaprintiwa
🤣🤣😅Umelisoma vp bila kuprintiwa? Au Umelisoma huku tangazo likiwa linaandikwa hapo kwa hapo?
Baaada ya muda likawa printed mkuuUmelisoma vp bila kuprintiwa? Au Umelisoma huku tangazo likiwa linaandikwa hapo kwa hapo?
Hujajibu swali, wakat unalisoma lilikuwa kwenye mfumo gnBaaada ya muda likawa printed mkuu