Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Anaweza kuinua mashabiki dakika za jioooniTulale tu.
Muda badoππ afu wenzako tupo busy na kuongeza received ww si umekosa cha kuapply nenda tu kalaleTulale tu.
Mtaalamu wa IT utongeza received ngapi maana hii pdf umepewa ujiachie kulingana na uwezo wakoππAnaweza kuinua mashabiki dakika za jioooni
Acha zako mm nishaongeza received kitambo sanaMuda bado[emoji3][emoji3] afu wenzako tupo busy na kuongeza received ww si umekosa cha kuapply nenda tu kalale
Mkuu nina received 10 mpk sasa...Mtaalamu wa IT utongeza received ngapi maana hii pdf umepewa ujiachie kulingana na uwezo wakoππ
πππ mchawi practicalMkuu nina received 10 mpk sasa...
Bado 16 zinanisubiri...ndio maana nimeanza kuchagua...au sijui niruke nazo zote received 26 π
Tena hizi eGA nazicheki tuπππ mchawi practical
Hao huwa wanataka sifaπTena hizi eGA nazicheki tu
Tutapambana nao tuHao huwa wanataka sifaπ
Hapa tutegemee saili mwezi wa 11 au 12ππ kwa hiz post zilizotangazwa sasaTutapambana nao tu
Sure...alafu kuna halmashauri kibao zinahitaji raia...wengine tunaweza kuwa tumepataHapa tutegemee saili mwezi wa 11 au 12ππ kwa hiz post zilizotangazwa sasa
Hapo itabidi Dodoma ndio pawe kama nyumbaniMkuu nina received 10 mpk sasa...
Bado 16 zinanisubiri...ndio maana nimeanza kuchagua...au sijui niruke nazo zote received 26 π
Hapo itabidi Dodoma ndio pawe kama nyumbani
Mkuu hivi ukiandika barua unatumia address ya Tie au utumishiAta ww kigezo unacho kulingana na Tangazo
Nikusihi fikisha changamoto yako kwa ict@ajira.go.tz au malalamiko@ajira.go.tz piga simu
Waambie waruhusu mfumo ukubali mtu aliyesoma education kama tangazo linavosena katika post hizo uzitaje
Yaani waruhusu kwenye category ya educationand training ili programme zilizopo hapo waweze kuomba
Watarekebisha tu hiyo changamoto mkuu bado mapema deadline ni mpaka tarehe 24 August
Mkuu pia omba nafasi ya EDITOR imetangazwa na TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TIE) inataka watu wa education
Barua zote za ajira kutpitia PSRS zinaelekezwa kwa katibu utumishi, hakuna barua inayokuwa na address ya taasisi tofauti na utumishi.Mkuu hivi ukiandika barua unatumia address ya Tie au utumishi
Au kama una tangazo nisaidie
Wakuu mimi mbona nikitumia simu inazingua kuingia kwenye a/c yangu ya ajiraportal had nitumie pc je wenzangu huko vp?Wapambanaji wenzangu leo ni siku nyingine tena, tuendelee kusubiria lolote linaweza kutokea. Na iwe Jumanne ya baraka