Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tatizo nafasi yenyewe moja labda wafanye kama kwenye mkeka wa akina meck pro watutafutie nafasi hapo hapo.

Pia najiuliza kada ya Afya ilivyo kubwa hivi eti wao wanataka mtu mmoja tu! mambo mengine tunabaniana wazi wazi
Wanazingua Yani moja afu kazi ilivyokubwa daah lakini utapata naamini
 
Wakuu msaada kwenye tuta tafadhali.

Mimi nimesoma Uhasibu na field zangu zote pamoja na internship nimefanya katka uhasibu.

Swali langu ni kwa usaili wa kesho Loan officer ninapooanisha experience yangu na duties za loan officers naona kama haziingilian kabisa.

Hapo kitaalamu tunafanyaje?.
 
Kwani experience walikwambia lazima zifanane na unachoenda kufanya mzee??wewe taja ulichokifanya kwenye kazi za nyuma na hizi ni junior levels so they don't care much about experience mzee wewe jibu maswali kuwa confident basi
 
Bado mkuu hatuwezi kuhitimisha hivyo, wenzangu nawajua wako vizuri, mimi nawapa nafasi halafu maombi yangu nayaelekeza kuingia kanzidata
Hello,believe kwamba umepata na omba mungu with belief kuwa you were the best candidate.Amini katika hicho ulichonacho,kama ambavyo kwenye bible(sorry si lengo kuhubiri) uwe na spirit kama ya ya DAUDI alivyo-trust silaha zake ndogo na hatimaye akamshinda GOLIATH,hivyo omba kwa imani na Mungu atakubariki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au umeona cv yangu wanataka wakafungie maandazi Hawa utumishi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani experience walikwambia lazima zifanane na unachoenda kufanya mzee??wewe taja ulichokifanya kwenye kazi za nyuma na hizi ni junior levels so they don't care much about experience mzee wewe jibu maswali kuwa confident basi
Halafu mimi kwenye Intro sijataja uzoefu/skills hata kidogo, nimetaja tu niliwahi kufanya Intern hospital fulani.

Huo uzoefu wanaoutaka bila shaka wameupata kwenye majibu ya maswali yangu, uzuri maswali yalihitaji majibu ambayo yanatekelezeka kwa vitendo.
 
Sawa mkuu, shukrani kwa kunitia moyo
 
Wapande mlima tu kwenye huu uzi possible zimemwagwa kama zote Yani,zile nondo ulitema juzi ndo mulemule kaka
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nondo za humu aseeh washindwe wenyewe tu Kuna wakati huwa nawazaga kama mwanzo ningepata muongozo kama wa humu ningeshakuwa kazini aseeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…