Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kaka mkubwa respect
 
Habari mkuu...samahani hivi kwasasa psrs ajira zote tunaanza na Aptitude test ? I mean he aptitude test imereplace written ?

Asante
Sio zote zingine wanafanya paper kama kawaida dodoma
nafikiri wao wanaangalia aina ya post au vinginevyo ila tambua si zote kwa hiyo ww jiandae tu kuwa tayari kufuata maelekezo majina ya kuitwa kwenye usaili wakitoa na lako likiwepo
 
Mkuu hivi kama ikawa umepata kazi kwingine na huku kwenye database yao umo wanaweza wakakuita pia kukitokea nafasi
 

Second round au replacement huwa inatokea ambapo aliyepangiwa kituo mwanzo hakwenda kuripoti, badala yake anapangiwa mtu mwingine aliyefaulu Oral kwenda kujaza hiyo nafasi.


Kuna kitu kinaitwa Database(kama huna uelewa nacho), ni ambapo mtu akifanya Oral akafaulu halafu akakosa nafasi kwa muda huo, mf nafasi ilikuwa 1, Oral wakaenda watu 10, hapo mmoja atapata nafasi wengine watabaki databas. Baadae nafasi zikipatikana popote hao waliobaki watapangiwa vituo vya kazi.

Bila shaka utakuwa umeelewa kuhusu swali lako
 
Soma sana au fanya maandalzi mazuri ili uibuke best katika interiew panel lengo lako litimie

Unapapenda zaidi taasisi ipi uliyoiomba??
Tatizo naweza kufanya interview zaidi ya moja ikatokea nikaitwa kitengo ambacho sio target yangu japo sina uhakika wa kupasua interview zote

Nimeomba halmashauri na taasisi kwaiyo nilikuwa nataka nipambanie taasisi endapo wakiniita
 
Tatizo naweza kufanya interview zaidi ya moja ikatokea nikaitwa kitengo ambacho sio target yangu japo sina uhakika wa kupasua interview zote

Nimeomba halmashauri na taasisi kwaiyo nilikuwa nataka nipambanie taasisi endapo wakiniita
Haya ni mawazo kabla ya interview, baada ya hapo utakuwa unasema kambi popote...ni kama yale mawazo kabla ya kumaliza chuo
 
Haya ni mawazo kabla ya interview, baada ya hapo utakuwa unasema kambi popote...ni kama yale mawazo kabla ya kumaliza chuo
Naamini katika kupambania ninachotaka sio ninachostahili

Hapa akili yangu inanituma kama vipi ningoje interview ya kitengo pendwa ivo vingine hata zikitoka nizikaushie just kuwaza tu
 
Naamini katika kupambania ninachotaka sio ninachostahili

Hapa akili yangu inanituma kama vipi ningoje interview ya kitengo pendwa ivo vingine hata zikitoka nizikaushie just kuwaza tu
Piga zote mkuu huwezi jua...usijiaminishe sana kuhusu hizi taasisi kubwa kubwa
 
Naamini katika kupambania ninachotaka sio ninachostahili

Hapa akili yangu inanituma kama vipi ningoje interview ya kitengo pendwa ivo vingine hata zikitoka nizikaushie just kuwaza tu
Piga zote mkuu huwezi jua...usijiaminishe sana kuhusu hizi taasisi kubwa kubwa
 
Naamini katika kupambania ninachotaka sio ninachostahili

Hapa akili yangu inanituma kama vipi ningoje interview ya kitengo pendwa ivo vingine hata zikitoka nizikaushie just kuwaza tu
Piga zote mkuu huwezi jua...usijiaminishe sana kuhusu hizi taasisi kubwa kubwa
 
Punguza overconfidence.

Fanya saili yote.

Miaka 7 mtaani wala isikushushe au kukupandisha Punguza Ego.

Fanya saili zote.

Maana unaweza kuwaza taasisi ukaishia Halmashauri
Sawa mzee nimekuelewa, sio ego ni just malengo tu ukizingatia wengine ni wageni wa mfumo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…