Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

usikate tamaa sio kila usaili utaenda kwasababu hali ya uchumi mifukoni mwetu tunaijua wenyewe, muhimu ukipata nafasi ya kwenda hakikisha hauichezei na hauachi hata nukta ktk majibu yako
 
Mkuu bora ww dar tu apo mm nipo mtwara jumanne inabidi niwe dom aisee na naenda fanya written
 
Ulisomea ma nini mkuu
 
Hamna connection ajira portal mkuu ukifail written ndio imeisha labda usipitie mfumo wa usaili io ndio itakuwa connection
Ndio tunavyoambiwa japo sina uhakika

Kuna ile mmepita oral kama mtu ten halafu nafasi ni mbili wanatumia kigezo gani kuchukua ao wawili na wengine kuwaweka kwenye database?
 
Ndio tunavyoambiwa japo sina uhakika

Kuna ile mmepita oral kama mtu ten halafu nafasi ni mbili wanatumia kigezo gani kuchukua ao wawili na wengine kuwaweka kwenye database?
Labda wamfanyie durect recruitment mkuu akipita ajira portal either apewe majibu mkuu ndio connection yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…