Southern Giant
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 621
- 1,298
usikate tamaa sio kila usaili utaenda kwasababu hali ya uchumi mifukoni mwetu tunaijua wenyewe, muhimu ukipata nafasi ya kwenda hakikisha hauichezei na hauachi hata nukta ktk majibu yakoKiukweli kiubinadamu sometimes inakera.
Mimi nimeenda Dodoma 2 times Olaaa.
Ya 3 ndo nikatoboa ila hata ivyo Database mwezi huu ndo imeisha.
Nasubiri ya nne nione inakuaje.
Kiukweli ukifikiria gharama Dar Dom.
Kula.
Kulala
Nauli.
Unaweza usiende kwa usaili