Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Mwaisa google ipo kwa ajiri yakoWakuu naomba kuuliza kishwahili sahihi cha ADMISSION OFFICER NA QUALITY ASSURANCE ni kipi??
Nimeona kwenye muongozo wametaja siku 14 kuripoti kaziniKawaida ni ndani ya siku 21.
Lakini huwa tunareport immediately pindi ukiona jina lako maana mtaani ni pa moto kama huna mishe ya maana
Sawa mkuu, Shukrani kwa kuliweka sawaNimeona kwenye muongozo wametaja siku 14 kuripoti kazini
Huko kote mbali, mwezi September wanaanza mikando.Saivi utumishi wapo kwenye session ya kuongezea watu received ikifika October/Nov/December nakuendelea ni ratiba za mikando tuu
Sasa mimi niliandika barua ya kiswahili afu pale juu nikaandika admission officer sijui kama hawatoreject na wametoa option ya editMwaisa google ipo kwa ajiri yako
Admissiom officer huyu ni afisa msajiri (ana husika na kusajiri wanafunzi )
Quality assurance huyu ni muhakiki ubora yeye ndo anahusika na kuhakiki ubora (iwe mitaala au mambo yote yanayohusika na taaluma au kozi inayotolewa kwenye vyuo,yeye anaangalia ubora wa mtaala wa kozi husika)
Tema yai mkuu...bachelor unaandika kiswahiliSasa mimi niliandika barua ya kiswahili afu pale juu nikaandika admission officer sijui kama hawatoreject na wametoa option ya edit
Kawaida mkuu ujuaji wa kingereza kama hujui ni bora wengine tumesoma shule za kata tunajua cha kujibia maswali ya class mkuuTema yai mkuu...bachelor unaandika kiswahili
Bora uzoee, oral nyingi ni ngeli tuKawaida mkuu ujuaji wa kingereza kama hujui ni bora wengine tumesoma shule za kata tunajua cha kujibia maswali ya class mkuu
Mjielimishe counting ya muda inaanza lini.Wengi hudhani ni siku ya usaili.Yah ilikuwa miezi sita zamani ,
Ila muda mrefu walishabadilisha ikawa mwaka na walisema hata nikiwa pale migiro nafanya oral.
Kingine kwa Trending ya Mwezi uliopita Imejidhihirisha Database ni Zaidi ya mwaka maana ukions ile trending wamechukua watu wa June,April hadi January 2023 sawa na mwaka na nusu.
Itoshe kusema Utumishi kwa sasa wanafanya kile wanachojisikia ila database ni mwaka constant
Sasa icho mm naongeaga point tu sina cha mbwembwe sana ukiniuliza swali nakujibu kama inavyotakiwa siwez ongeza wala punguzaBora uzoee, oral nyingi ni ngeli tu
Kwanza kabisa hawana mamlaka ya kushirikia hicho cheti maana hakikukuwa dhamana.ipi hivi jamaa kaanza chuo mwezi wa 11 mwisho kabsa kwenye matarehe 28 uko sasa alipoenda kujisajili ndo akawapa chet cha kuzaliwa na cha 4 wakabak navo na hela hyo 350k baada ya hapo akasoma had tarehe kama 10 hv mwez wa kwanza na kpnd hcho chote chet bado wanacho hao watu wa chuo, na kwa hali yake alvoona hawez malza ada akaomba afanye mitihani ya semester halaf alipage ada mbele wakamkatilia ndo mchezo ukaisha hapo akaomba vyeti vyake wakampa cha kuzaliwa cha form 4 wakabak nacho had leo hawatak kumpa
Kwanza kabisa hawana mamlaka ya kushirikia hicho cheti maana hakikukuwa dhamana.
Hivyo wanatakiwa kurejesha hicho cheti kwa mmiliki halali kukaa na cheti cha mtu mwingine ni makosa ile ni nyaraka yake, ndio maana hata mabenki hayatoi mikopo kwa dhamana ya vyeti.
Fanya yafuatavyo.
1. Tafuta ushahidi kwanza kwamba wanashikilia hicho cheti hata kwa kuwarekodi maana bila ushahidi wanaweza kukukana huko mbeleni wakiona mambo yamekuwa magumu kwao.
2.Waandikie barua ya kuwaomba wakurejeshee cheti chako.
3. Nenda kwa mkuu wa wilaya kilipo chuo, mkuu wa wilaya atawaita atawatasikiliza na akiona Wana makosa atawaambia wakupe cheti.
4. Ukikosa huduma kwa mkuu wa wilaya omba kuonana na katibu tawala mkoa au mkuu wa mkoa umuombe akusaidie kurejeshewa cheti.
5. Ukishindwa kote huko waandikie barua ya kusudio la kuwashtaki endapo hawatakupa cheti chako ndani ya siku kadhaa. KUKIPATA CHETI MBADALA NECTA INATUMIA MUDA GANI
Wakuu naomba kuuliza kishwahili sahihi cha ADMISSION OFFICER NA QUALITY ASSURANCE ni kipi??
Ridhiwani toka aingie, pdf zimepunguaBaada ya kuingia Naibu Waziri mwingine "Utumishi" naona mwendo wanaoenda sasa unakatisha Tamaa kwa jobless....
Database ya Taasisi bado wanaviporo vingi database wa 2022/2023 saili zilifanyika sanaa lakini Ukiangalia mwenendo wao kwa kweli unakatisha Tamaa.....