Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu naomba kuuliza kishwahili sahihi cha ADMISSION OFFICER NA QUALITY ASSURANCE ni kipi??
Mwaisa google ipo kwa ajiri yako
Admissiom officer huyu ni afisa msajiri (ana husika na kusajiri wanafunzi )
Quality assurance huyu ni muhakiki ubora yeye ndo anahusika na kuhakiki ubora (iwe mitaala au mambo yote yanayohusika na taaluma au kozi inayotolewa kwenye vyuo,yeye anaangalia ubora wa mtaala wa kozi husika)
 
Mwaisa google ipo kwa ajiri yako
Admissiom officer huyu ni afisa msajiri (ana husika na kusajiri wanafunzi )
Quality assurance huyu ni muhakiki ubora yeye ndo anahusika na kuhakiki ubora (iwe mitaala au mambo yote yanayohusika na taaluma au kozi inayotolewa kwenye vyuo,yeye anaangalia ubora wa mtaala wa kozi husika)
Sasa mimi niliandika barua ya kiswahili afu pale juu nikaandika admission officer sijui kama hawatoreject na wametoa option ya edit
 
Yah ilikuwa miezi sita zamani ,

Ila muda mrefu walishabadilisha ikawa mwaka na walisema hata nikiwa pale migiro nafanya oral.

Kingine kwa Trending ya Mwezi uliopita Imejidhihirisha Database ni Zaidi ya mwaka maana ukions ile trending wamechukua watu wa June,April hadi January 2023 sawa na mwaka na nusu.

Itoshe kusema Utumishi kwa sasa wanafanya kile wanachojisikia ila database ni mwaka constant
Mjielimishe counting ya muda inaanza lini.Wengi hudhani ni siku ya usaili.
Muda wa database ni mwaka 1 .
Wana tuzidi kuongeza received kumenogile hatarii
 
ipi hivi jamaa kaanza chuo mwezi wa 11 mwisho kabsa kwenye matarehe 28 uko sasa alipoenda kujisajili ndo akawapa chet cha kuzaliwa na cha 4 wakabak navo na hela hyo 350k baada ya hapo akasoma had tarehe kama 10 hv mwez wa kwanza na kpnd hcho chote chet bado wanacho hao watu wa chuo, na kwa hali yake alvoona hawez malza ada akaomba afanye mitihani ya semester halaf alipage ada mbele wakamkatilia ndo mchezo ukaisha hapo akaomba vyeti vyake wakampa cha kuzaliwa cha form 4 wakabak nacho had leo hawatak kumpa
Kwanza kabisa hawana mamlaka ya kushirikia hicho cheti maana hakikukuwa dhamana.
Hivyo wanatakiwa kurejesha hicho cheti kwa mmiliki halali kukaa na cheti cha mtu mwingine ni makosa ile ni nyaraka yake, ndio maana hata mabenki hayatoi mikopo kwa dhamana ya vyeti.
Fanya yafuatavyo.
1. Tafuta ushahidi kwanza kwamba wanashikilia hicho cheti hata kwa kuwarekodi maana bila ushahidi wanaweza kukukana huko mbeleni wakiona mambo yamekuwa magumu kwao.
2.Waandikie barua ya kuwaomba wakurejeshee cheti chako.
3. Nenda kwa mkuu wa wilaya kilipo chuo, mkuu wa wilaya atawaita atawatasikiliza na akiona Wana makosa atawaambia wakupe cheti.
4. Ukikosa huduma kwa mkuu wa wilaya omba kuonana na katibu tawala mkoa au mkuu wa mkoa umuombe akusaidie kurejeshewa cheti.
5. Ukishindwa kote huko waandikie barua ya kusudio la kuwashtaki endapo hawatakupa cheti chako ndani ya siku kadhaa.
6. Ukiona kimya samehe chukua lakini lipia upewe cheti kiingine na baraza maisha yaendelee.
 
Baada ya kuingia Naibu Waziri mwingine "Utumishi" naona mwendo wanaoenda sasa unakatisha Tamaa kwa jobless....
Database ya Taasisi bado wanaviporo vingi database wa 2022/2023 saili zilifanyika sanaa lakini Ukiangalia mwenendo wao kwa kweli unakatisha Tamaa.....
 
Kwanza kabisa hawana mamlaka ya kushirikia hicho cheti maana hakikukuwa dhamana.
Hivyo wanatakiwa kurejesha hicho cheti kwa mmiliki halali kukaa na cheti cha mtu mwingine ni makosa ile ni nyaraka yake, ndio maana hata mabenki hayatoi mikopo kwa dhamana ya vyeti.
Fanya yafuatavyo.
1. Tafuta ushahidi kwanza kwamba wanashikilia hicho cheti hata kwa kuwarekodi maana bila ushahidi wanaweza kukukana huko mbeleni wakiona mambo yamekuwa magumu kwao.
2.Waandikie barua ya kuwaomba wakurejeshee cheti chako.
3. Nenda kwa mkuu wa wilaya kilipo chuo, mkuu wa wilaya atawaita atawatasikiliza na akiona Wana makosa atawaambia wakupe cheti.
4. Ukikosa huduma kwa mkuu wa wilaya omba kuonana na katibu tawala mkoa au mkuu wa mkoa umuombe akusaidie kurejeshewa cheti.
5. Ukishindwa kote huko waandikie barua ya kusudio la kuwashtaki endapo hawatakupa cheti chako ndani ya siku kadhaa. KUKIPATA CHETI MBADALA NECTA INATUMIA MUDA GANI
 
Back
Top Bottom