Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Nondo za humu aseeh washindwe wenyewe tu Kuna wakati huwa nawazaga kama mwanzo ningepata muongozo kama wa humu ningeshakuwa kazini aseeh
Likewise bro!niliwaza nikasema kama ningekua naingia oral Sasa hvi aisee nisingekamatika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana hawaeleweki hawa
Hii PSRS imekuwa inanipa faida ya kukutana na school mates sana,kuanzia written nilikutana na school mates, wengine hata siwajui ila wao wananijua maana niliwahi kujizolea umaarufu shuleni hadi nikatambulika.

Leo tena nimekutana na jamaa, ni Engineer tangu nimalize shule sikuwahi kukutana naye.

Alivyo na bahati, amefanya written ya kwanza na akafika oral.
 
Hizo experience hawaangalia sana pale wanachokupima yani unafundishika kazini ,una uelewa na hiyo kazi, na jinsi unavyojoamini au kuhandle situation tofauti ndo maana Kuna wakati unaweza kujibu sawa halafu wanajifanya kama hawakuelewi wanakupiga macho hayo sasa kama hujiamini lazima upoteze network
 
Kufika oral sio shida ,shida inakuwaga kama hajawahi kupewa detail ya zile interview hawezi kutoboa
 
Halafu mtindo wa kukuangalia mkandwaji, mimi nimewaangalia wawili tu ambao ndio walikuwa wanatoa maswali, tena nikishamaliza ndio nawaanhalia wasemeje. Nikiwa natema broken nakuwa nawaanhalia kama siwaangalii(yaani ile kuangalia juu juu).

Sasa wale ambao wamenipiga jicho hawajanipata maana mimi sikuwa na muda nao[emoji3][emoji3]
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Wale ukitaka kuwaweza inatakiwa usiwawazie Yani we shuka madude yako tembea na lege
 
Ni vizuri kukutana na mates.Mkuu unataka kuniambia ni ngumu sn kufanya written kwa mara ya kwanza na ukatoboa kwenda oral? Basi me pia nina bahati
 
Anhaaaa nimekuelewa mkuu
 
Sure kk na hii unaielewa zaidi ukipata nondo km mnazozitoa humu laiti tungejua mwanzoni Sana tungekuwa mrijani
Yes hakika sema tatizo humu watu wanakuwaga wabinafsi na wengi wanadharau sana mzee ndo maana hata hizi detail zilikuwa hazipatikani ,unakuta mtu alishafanya interview anajua zinaendaje lakini kumsaidia mtu anaona shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ