Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa ajili ya kuwaminisha jamii utendaji wa utumishi inapaswa itolee ufafanuzi hilo suala
Kuna zile ajira za TRA zilitangazwa mwezi wa 11 mwaka Jana,ilipofika mwezi wa 2 mwanzoni mwaka huu Uzi ukaanzishwa humu ukielezea namna utumishi walivyowapigia simu watu na kuwaita kazini kimya kimya, Mara zikaletwa story za intern walioko TRA ndio wamepewa hizo kazi,tukawaambia vijana jiandaeni na pepa ya utumishi,acheni blah blah blah.Mwishowe Watu wakaitwa kwny interview na wenye bahati zao wakalamba ajira

JF hua inatumiwa vibaya na baadhi ya watu kama kiwanda ch kuzalisha uongo na kukatisha tamaa wengine.
 
Kuna zile ajira za TRA zilitangazwa mwezi wa 11 mwaka Jana,ilipofika mwezi wa 2 mwanzoni mwaka huu Uzi ukaanzishwa humu ukielezea namna utumishi walivyowapigia simu watu na kuwaita kazini kimya kimya, Mara zikaletwa story za intern walioko TRA ndio wamepewa hizo kazi,tukawaambia vijana jiandaeni na pepa ya utumishi,acheni blah blah blah.Mwishowe Watu wakaitwa kwny interview na wenye bahati zao wakalamba ajira

JF hua inatumiwa vibaya na baadhi ya watu kama kiwanda ch kuzalisha uongo na kukatisha tamaa wengine.
Kuna taasisi moja nimejaribu kuulizia uwepo wa watumishi wa ajira mpya nimejibiwa hakuna kama kuna waliopigiwa simu basi si taasisi zote
 
Kuna zile ajira za TRA zilitangazwa mwezi wa 11 mwaka Jana,ilipofika mwezi wa 2 mwanzoni mwaka huu Uzi ukaanzishwa humu ukielezea namna utumishi walivyowapigia simu watu na kuwaita kazini kimya kimya, Mara zikaletwa story za intern walioko TRA ndio wamepewa hizo kazi,tukawaambia vijana jiandaeni na pepa ya utumishi,acheni blah blah blah.Mwishowe Watu wakaitwa kwny interview na wenye bahati zao wakalamba ajira

JF hua inatumiwa vibaya na baadhi ya watu kama kiwanda ch kuzalisha uongo na kukatisha tamaa wengine.
Huo uzi nmeuandika mimi, nadhani kati ya watu waliokuwa wanawaamini ajira portal ni mimi na sijawahi kujua kuna mambo kama hayo, kama ni uzushi does it mean huyo aliepost hiyo barua anamshukuru Mungu status hiyo barua kajiandikia? Maana ata we ukiangalia placement zilizopo kwenye website now, hakuna placement yoyote inayohusu wizara ya ardhi, na kama we ni mfatiliaji mzuri hapa, nlishiandika uzi kuhusu ajira za wizara ya ardhi placement kucheleweshwa tatizo ni nini? Jana ndo nashtuka kumbe watu walishaitwa kazin, nkaomba mdogo wng aniulizie huyo kaka ilikuaje akasema walipigiwa simu.
 
Kuna blah blah nyingi sana humu
Sio bla bla, na wala kuwakatisha watu tamaa, mimi nmeandika kupata mawazo ya wengine kwa nlichokiona. Na ni kweli ukiingia website ya ajira hizo zote tatu hamna sehem wameplace watu wa wizara ya ardhi halafu unakuja kushtuka mtu ana barua ya placement, ata ingekuwa wewe ingekushangaza. Mimi mwenyew nmekata tamaa kiasi chake ila inshort bado namwamini Mungu na bado hii ya bunge ya trh 5 ntaenda vizuri tu Dodoma.
 
Ila uyo jamaa aliepost barua status ana utoto mwingi sana [emoji1] au mm ndio mshamba, yani upate barua yako uko uje upost status imekuwa matangazo ya vifo [emoji1]
Yaan mimi kwanza hicho kimenishangaza, we unapostije barua kama ile status, sema kaziba tarehe ya hiyo barua na kumbukumbu no, ila jina kaacha. Anawaponza tu ata waliompa hiyo kazi ata km kapata kwa kustahili
 
Huo uzi nmeuandika mimi, nadhani kati ya watu waliokuwa wanawaamini ajira portal ni mimi na sijawahi kujua kuna mambo kama hayo, kama ni uzushi does it mean huyo aliepost hiyo barua anamshukuru Mungu status hiyo barua kajiandikia? Maana ata we ukiangalia placement zilizopo kwenye website now, hakuna placement yoyote inayohusu wizara ya ardhi, na kama we ni mfatiliaji mzuri hapa, nlishiandika uzi kuhusu ajira za wizara ya ardhi placement kucheleweshwa tatizo ni nini? Jana ndo nashtuka kumbe watu walishaitwa kazin, nkaomba mdogo wng aniulizie huyo kaka ilikuaje akasema walipigiwa simu.
Mkuu ungemuuliza km hiyo kazi ni ya kada ambayo wew umefanyia interview?
Kuna wale ambao hua wanatokea kwenye kanzidata yawezekana pia yeye kapitia huko kwa ninavyofaham hata km mtu kafanyiwa mipango lazima apitie kwenye mfumo rasmi ikiwemo kua shorlisted, oral mpaka kwenye placement huo utaratib wa kupigiwa simu hua n kwa waliokua kwenye kanzidata
 
Huo uzi nmeuandika mimi, nadhani kati ya watu waliokuwa wanawaamini ajira portal ni mimi na sijawahi kujua kuna mambo kama hayo, kama ni uzushi does it mean huyo aliepost hiyo barua anamshukuru Mungu status hiyo barua kajiandikia? Maana ata we ukiangalia placement zilizopo kwenye website now, hakuna placement yoyote inayohusu wizara ya ardhi, na kama we ni mfatiliaji mzuri hapa, nlishiandika uzi kuhusu ajira za wizara ya ardhi placement kucheleweshwa tatizo ni nini? Jana ndo nashtuka kumbe watu walishaitwa kazin, nkaomba mdogo wng aniulizie huyo kaka ilikuaje akasema walipigiwa simu.
Duuu inaumiza mno,,,sii ww tu umeshtuka hata wengine wanaosubiri placements wameshtuka sana ila kama umefika oral vizuri hebu kuwa na imani katika placement ijayo
 
Back
Top Bottom