Hamna tatizoHivi mtu akiwa shortlisted kwenye written interview, hasipohudhuria.
Hakiwezi kumletea shida huko mbeleni kwenye kuomba nafasi nyingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndio mkuu hakikisha unaenda nayo ukiwa umeivaa shingon..
Upo na chatGPT au sio...Najifua braza
Huwa wanaangalia idadi ya walio omba na wanaohitajika. Ikitokea watu walioomba ni wachache hao hupita moja kwa moja usahili wa mahojiano( oral)Habari naomba kuuliza hivi prs wanatumia vigezo gani kuchagua watu wengine wafanye usahili wa mahojiano pekee na sio wa written halafu akafata oral
Jana niliwasiliana na jamaa akasema anaumwa sana kutokana na pdf ya jana 😂Utawala2025 kila la kheri mkuu najua unajifua sasa hivi....
Na wengine wa afya best wishes
Asante sana aisee.Utawala2025 kila la kheri mkuu najua unajifua sasa hivi....
Na wengine wa afya best wishes
Wewe mbaga acha umbea ndo maana yule mzee kwenye Uzi wa Tamisemi amekupa laanaJana niliwasiliana na jamaa akasema anaumwa sana kutokana na pdf ya jana [emoji23]
Mm na tamisemi wap na wap?Wewe mbaga acha umbea ndo maana yule mzee kwenye Uzi wa Tamisemi amekupa laana
Achana na mimi hapa napambana niingie oral kwanza mambo yashawaka Hatari Hatari.Mm na tamisemi wap na wap?
Mzee yupi wa tamisemi?
Anyway, nimefurahi kukuona umerud tena mana kwa hali uliyokuwa nayo jana ungeweza ht kujiua [emoji23]
Hivi kuna mtu ana diploma na hajui kutumia computer?..Wanasema Diploma na Certificate wataandika kwa mkonoView attachment 3081982
Nadhani kwa kada hii ya afya wameona tuu wafanye wa kuandika ila si kwamba hawajasoma computerHivi kuna mtu ana diploma na hajui kutumia computer?..
Presentation alikuwa hafanyi?
Report aliandika kwa kutumia nin?
Tuishi kiongozi mambo ndo hayaHii nimekutana nayo oral ya May mwaka huu kama ilivo[emoji419][emoji419]Mungu ni mwema..Nliitwa kazini 2nd August
Mkuu upo da najua we ni mkali kwenye statusTuishi kiongozi mambo ndo haya
Pamoja sana mkuuTuishi kiongozi mambo ndo haya