sam mirror 1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2022
- 969
- 2,318
Kweli mkuu maana wana lawama za hatari.Tuendelee tu kuwakumbusha walimu wajipange, wasije kuja na malalamiko. PSRS huwa wanakanda haswa.
Eehh....hii wametoa kwenye website ya Bunge ...Ajira za Bunge kumbe hasaini Katibu wa psrs
Mkuu acha tu natamania kishenzi sema ndio ivyo. Placement imefanyika chap kinoumaAjira za Bunge kumbe hasaini Katibu wa psrs
Sumbawanga
vp utawala unakula msuli wa oral 🤣 🤣Ajira za Bunge kumbe hasaini Katibu wa psrs
Inategemeana na ulifanya kwenye taasisi ipi kama ji LGAs&MDAs huwa aibadililiki hta kama umefnya orral itabaki hivyo selected for oral.ila kama umfanya hzi taasisi za kujitegemea mfano bunge na nyingine hzi , baada ya oral kma ujafaulu huwa zinaonyesha kabisa not selected . Maana yake ujafaul interview yao ya baadaa ya oral.Tuna Selected for Oral
Haijawahi kubadilika
Mwaka haujaisha
Na Sasa tupo kwenye usaili wa kada ileile.
Ok ni Hawa Hawa wazinguajiInategemeana na ulifanya kwenye taasisi ipi kama ji LGAs&MDAs huwa aibadililiki hta kama umefnya orral itabaki hivyo selected for oral.ila kama umfanya hzi taasisi za kujitegemea mfano bunge na nyingine hzi , baada ya oral kma ujafaulu huwa zinaonyesha kabisa not selected . Maana yake ujafaul interview yao ya baadaa ya oral.
Naoongea hivi from experience ya interview yabinge juzi hapa
Mkuu ulifanya oral ya bungeInategemeana na ulifanya kwenye taasisi ipi kama ji LGAs&MDAs huwa aibadililiki hta kama umefnya orral itabaki hivyo selected for oral.ila kama umfanya hzi taasisi za kujitegemea mfano bunge na nyingine hzi , baada ya oral kma ujafaulu huwa zinaonyesha kabisa not selected . Maana yake ujafaul interview yao ya baadaa ya oral.
Naoongea hivi from experience ya interview yabinge juzi hapa
Mkuu ulifanya oral ya MDAs & LGAs?Hv ikiwa selected for oral interview ina maana upo kwenye database, yn ulifaulu oral ila hukupata nafasi ya kuajiriwa?
Mana h ishu hua siielewi kabisa.
Ebu tupe feed back anachoongea mwamba apo cause na ww si ulikuwa kwenye iyo oralM
Mkuu ulifanya oral ya bunge
Cjawah kufanya usaili wao, ila nna received moja yao ya Afisa Utamaduni Msaidizi waliyotangaza juzi kati hapa.Mkuu ulifanya oral ya MDAs & LGAs?
Mpaka Sasa hivi haja-comfirm kwenda SUA agricultural engineering anasubiri Nini.Wakuu.
Kuna dogo hapa kapata multiple selection hizi za vyuo vikuu.
1. bachelor of science in renewable energy engineering -UDOM
2. agricultural engineering - SUA
3. bachelor of technical education in electrical and electronics engineering - MUST
Naombeni ushauri hapo apite na kozi gqni ?
[emoji42][emoji42][emoji42]kaka sitaki masihara na hawa wazee,,vp utawala unakula msuli wa oral [emoji1787] [emoji1787]
Kulingana na upepo wa Mikeka inayotoka kwa saa hivi Agricultural engineering wanakimbiza. Hatujui kwa miaka ijayo.Wakuu.
Kuna dogo hapa kapata multiple selection hizi za vyuo vikuu.
1. bachelor of science in renewable energy engineering -UDOM
2. agricultural engineering - SUA
3. bachelor of technical education in electrical and electronics engineering - MUST
Naombeni ushauri hapo apite na kozi gqni ?