Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Inategemeana na ulifanya kwenye taasisi ipi kama ji LGAs&MDAs huwa aibadililiki hta kama umefnya orral itabaki hivyo selected for oral.ila kama umfanya hzi taasisi za kujitegemea mfano bunge na nyingine hzi , baada ya oral kma ujafaulu huwa zinaonyesha kabisa not selected . Maana yake ujafaul interview yao ya baadaa ya oral.
Naoongea hivi from experience ya interview yabinge juzi hapa
Sawa huenda hawajafaulu kwaiyo ndo ata database hawatakuwepo wale watatu waliobaki??
 
Duh kwaiyo waliingia oral wanne inamaana wale watatu ndo hawatapata kabisa kupitia database kisa ipo not selected for oral dah ila wale wamepambana Sana lile nyomi kutoboa mpaka kufika oral wanne sio mchezo
Ndio mkuu walitoboa watano ina maana wa nne wamebaki database
 
Ndio mkuu walitoboa watano ina maana wa nne wamebaki database
Sasa apo si Wana not selected wote wanne mwenye selected ni huyo pekee aliepata kazi ndo huwaga ilivo maana kwenye hizi taasisi mara nyingi kwenda oral huwaga watu wachache sana mara nyingi wanaopataga kazi kwenye status ndo Huwa Wana selected akikosa mmoja hapo ujue lazima aandikiwe not selected for oral tofauti na MDA and LGA ambapo huwaga nyomi la watu status kubadilika ina depend ila kwenye taasisi ndo unajua chapu tu
 
Sasa apo si Wana not selected wote wanne mwenye selected ni huyo pekee aliepata kazi ndo huwaga ilivo maana kwenye hizi taasisi mara nyingi kwenda oral huwaga watu wachache sana mara nyingi wanaopataga kazi kwenye status ndo Huwa Wana selected akikosa mmoja hapo ujue lazima aandikiwe not selected for oral tofauti na MDA and LGA ambapo huwaga nyomi la watu status kubadilika ina depend ila kwenye taasisi ndo unajua chapu tu
Na bunge uko wao hawana apps ni mwendo wa website, mapema unajijua uko upande gan
 
Mikoa niliyoomba imefutika je ndiyo nimechinjwa au kada ualimu?
Mwalimu usipate tabu, kama umechinjwa huwa inaandika kwenye status, NOT SHORTLISTED. Pia utapata sababu kwa nini hujawa shortlisted. Issue za mikoa hazina tija, angalia tu status.
 
Back
Top Bottom