Th3the
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 1,327
- 1,779
Received zimebadilika au ?Kuna watu wameitwa interview kwenye portal uko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Received zimebadilika au ?Kuna watu wameitwa interview kwenye portal uko
Aende suaWakuu.
Kuna dogo hapa kapata multiple selection hizi za vyuo vikuu.
1. bachelor of science in renewable energy engineering -UDOM
2. agricultural engineering - SUA
3. bachelor of technical education in electrical and electronics engineering - MUST
Naombeni ushauri hapo apite na kozi gqni ?
raia wamepigwa zipu midomo na utumishi 🤣 🤣Mupo kimya sana😀 mpaka najiona nimebaki peke yangu umu
Tupo mkuu no placement sasa tuongee nnMupo kimya sana😀 mpaka najiona nimebaki peke yangu umu
SawaAende sua
Utachagua topic ya kupresent.Hivi 'tutorial assistant' oral wanaulizaga nin? au unachagua topic ya kupresent?
😂 Njaa hizi...unajichanganya popoteUtachagua topic ya kupresent.
Baada ya kupresent utaulizwa maswali waliyoyaandaa wao
NB: Maswali hayo Mara nyingi hayazingatii ulichopresent.
Popote unapofit ni kwenda tu 😂😂😂 Njaa hizi...unajichanganya popote
Ila mkuu abadilishe course aende Agronomy, General Agriculture,Crop management iyo Agriculture engineer fursa chache msisitize sana.Sawa
Asante Mkuu, tayari alishaichagua hvyoo
ile inayokuaga dodoma?Kwa jinsi nilivyoona mijamaa ya utumishi kwenye written ilikuwa kama 15 aisee tutarajie mikeka kuchelewa .
Mm nafanya sumbawanga majamaa ya utumishi yako kama 15 na gari lao kama cruiser mbili plus Tanzania nzima.ile inayokuaga dodoma?
Hapo mbona wamebana matumizi mzee...watu 15 gari mbili...wamekaa mpk sehem ya mizigoMm nafanya sumbawanga majamaa ya utumishi yako kama 15 na gari lao kama cruiser mbili plus Tanzania nzima.
Kiukweli dodoma sidhani kama kuna watu watakuwa wamebaki walinzi.
Watu wanaponda maisha.
Kama issue ya kubadilisha kozi itakuwa rahisi akifika huko SUA nadhan itsbd aangalie packej nzuri,Ila mkuu abadilishe course aende Agronomy, General Agriculture,Crop management iyo Agriculture engineer fursa chache msisitize sana.
nasikia unachagua topic ya kupresent then unapigwa maswali kwenye ulichofundisha lakin pia yale maswali common kama kawaida yapoHivi 'tutorial assistant' oral wanaulizaga nin? au unachagua topic ya kupresent?
Ni noma mkuuMwisho wa usaili wa watu wa afya ni Ijumaa 13 Septemba, baada ya hapo tutapata mapumziko mafupi ya wiki mbili then wageukie waalimu ambao usaili wao utaenda kwa wiki mbili 😎 baada ya hapo tutaenda mapumziko mafupi ya wiki mbili then tugeukie wale LGA's na MDA's wa kada nyinginezo 😎
Kwahy hapo kuna kama wiki saba au nane mpaka wale wa kada zingine kuitwa usaili 😎
watoe pdf usahili sio muhimu sanaMwisho wa usaili wa watu wa afya ni Ijumaa 13 Septemba, baada ya hapo tutapata mapumziko mafupi ya wiki mbili then wageukie waalimu ambao usaili wao utaenda kwa wiki mbili 😎 baada ya hapo tutaenda mapumziko mafupi ya wiki mbili then tugeukie wale LGA's na MDA's wa kada nyinginezo 😎
Kwahy hapo kuna kama wiki saba au nane mpaka wale wa kada zingine kuitwa usaili 😎